2015 nchi haina mgombea Urais, isipokuwa

Hivi ni kweli haya ulioandika unadhani ni facts au umachanganya na ushabiki?
Wote tujitahidi kufungua macho tuone ngambo. Hasa kuhusu uaminifu wa watu.
Kama inadhani ulioandika ni halisi na hujafunikwa na blanketi la ushabiki.
 
Pata 5GB TIGO INTERNET BUNDLE SPEED BILA KIKOMO MWEZI MZIMA kwa gharama nafuu kabisa ya Tsh.9000/= badala ya 25000/= kwa mahitaji nicheck kupitia namba hii 0674637312 nikuunganishe fasta.
UHAKIKA!
 
hoya dogo acha chuki binafsi utasemaje mwaka 2000 na 2005 hakukuwa na upinzani ,,,unajua kilichofanyika 2005,ww kura yenyewe ulipga@????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom