BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Maisha ni magumu sana, ukiangalia mbali ndio unachoka kabisa. huu ugumu kwa asilimia kubwa unasababishwa na viongozi wetu wa siasa tulionao sasa. Jamani naona 2015 mbali sana, tutafika kweli, tuwang'oe nadhani nimeshawachoka kupita kiasi!!, miaka mitatu iliyobaki naona kama miaka 100!!, duh!!!.