2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

Hivi baada ya ule mgomo boom ndyo liliongezeka vile kutoka 5,000 had 8,000 nadhan
 
Hiyo siku naikumbuka sana
 
Duuu.Ni shidaaa.Hakika kwa sasa hatuna tena vyuo.Unakumbuka mabomu ya Mlimani City kwenye harakati ya kwenda ikulu?.Kwa kifupi,CASS ilipoteza wawili.Hao wote tulikuwa nao kwenye literature.
Pale shati langu lilichanika mgongo mzima baada ya kupenya sehemu kwenye fensi ya waya, huku nikiacha raba yangu pale
 
Mbona ID yako na avatar yako haviendani, kwema?

Kwema tu, habari yako!!?

Mwenzako kaandika kwa hisia ila ww umeangalia tu spelling,,content hujaijali.

Am sorry, ila nimechukia kwa kitendo hicho.

Hii ID na avatar haviendan kwa lengo flan,,..na havina uhusiano na uhalisia wwote wa maisha yangu.
 
pole sana.ulitusaidia pole kwa kweli
vipi lakini
Kusema kweli ule ujinga siwezi fanya tena kipindi kile nilikua na misimamo ya kipuuzi sana,mwisho wa siku nimekuja kusoma chuo kingine bila mkopo na mzigo wote nikawabebesha wazazi wangu

Ila rev square ni jukwaa ambalo ulitakiwa liendelezwe hadi kesho
 
Pale shati langu lilichanika mgongo mzima baada ya kupenya sehemu kwenye fensi ya waya, huku nikiacha raba yangu pale
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™πŸ™
 
Hahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahaha
Yeah walijitenga,kama kumbukumbu zangu zipo sahihi kuna Prof wao alipigwa,Jamaa wa Coet walikuwa hawataki kuungana nasisi kwenye mgomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…