Hahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahahamgomo wa 10000
watu walirusha chupa kwenye msafara wa kawambwa ffu walitembeza mabomu
niliumia kidole hadi leo kicha aioti vizuri
wale wahuni walirusha hadi moto ukawaka maeneo ya COET
nilikuwa 100% ya huo mgomo ulipoanza hadi kuisha
na viongozi kibao aiseee wa CONAS mi ndo nawakumbuka hadi leoKinachoniuma ni kuwapoteza course mates wetu,akiwepo Alshabab.
Anyway.. wacha tuamini tu. Mi najua 2011 ulikua olevel kama sio advanceAisee nadhani huu mgomo ndo ule hadi alikuja waziri kawambwa aisee watu walishuka mpaka kuke kwenye swimming pool jamaa yule Laizer akaanza kumuita "Kawambwaaa Kawambwaaa Kawambwaa" nimekuita mara tatu kama isingelikua Nyerere usingesoma bure, aisee baadae nakumbuka polisi wanaondoka wakaanza ku4ushiwa makopo na mawe na kuitwa form 4 failure aisee mbio zilitimuka siku ile sitasahau nimefika Hall 1 ikabidi njegere zote zikaharishwe hahahaha...ila ilisaidia boom likawa 7500 badala ya 5000 nilienjoy sana kwa kweli daaah...ila maumivu ya bodi nayasikilizia sasa hivi hatari tupu...
kwanza walifungwa walikaaa segerea mawiki kadhaa alafu ndo wakatimliwaKinachoniuma ni kuwapoteza course mates wetu,akiwepo Alshabab.
Hapana mkuu.Wale akina Alshabab na yule mrefu wa mwanzo waliofukuzwa,walikuwa ni course mates kwenye College of Arts and Social sciences.Sie darasani kwetu jamaa wawili waliwasimamisha masomo wakaja kurudi chuo sie tupo mwaka wa mwisho, yani mkuu baada ya mbio zile za kutoka kule kwenye swimming pool ukichungulia nje unaiona land cruiser ya polisi ilee inafanya doria..hao jamaa wawili walifariki au?
sina kumbukumbu vizuri lakini mgomo wa 10000 ulikuwa mzito ndo pesa ikapanda mpaka leo 7500 imegota hapo sijui kama imeongezekaHahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahaha
Kweli eeeeeh?kwanza walifungwa walikaaa segerea mawiki kadhaa alafu ndo wakatimliwa
Nilinusulika= nilinusurika
Hicho chuo ulienda kusomea ujinga?
unamkumbuka yule aliyeandamana mwenyewe jina ni chacha kama sikoseiHapana mkuu.Wale akina Alshabab na yule mrefu wa mwanzo waliofukuzwa,walikuwa ni course mates kwenye College of Arts and Social sciences.
Ni kweli mkuu.COeT kwenye mgomo mara nyingi walikuwa si washirika wazurisina kumbukumbu vizuri lakini mgomo wa 10000 ulikuwa mzito ndo pesa ikapanda mpaka leo 7500 imegota hapo sijui kama imeongezeka
mpaka walikuja kuomba michango maana boom walikatiwa na wengine walisota humo jela midhamana ilizinguaKweli eeeeeh?
Yule alikuwa ni mwaka wa tatu kama sikosei.unamkumbuka yule aliyeandamana mwenyewe jina ni chacha kama sikosei
ila kuna mgomo wao mwanafunzi alifukuzwa walilazimisha watu wagome wakagoma wenyewe na yule mwanafunzi hakurudishwa ukaishia juu juu tuNi kweli mkuu.COeT kwenye mgomo mara nyingi walikuwa si washirika wazuri
Watu wasiojulikana
Muwe mnatuamkia wakubwa zenu humu[emoji134][emoji134][emoji134]Mimi sijasema.
Ila UD nilijiunga 2010 na nilikutana na masekeseke sana.
Na masekeseke nilianza nayo secondary, kama unakumbuka 2008-2010 shule nyingi zilikuwa na fujo sana.
Duuuuuuuuu.We acha Alshabab alikuwa anajilazimisha kuongea kama mzungu kwa ulimi kuupeleka kooni.πππππyaani kwenye theatre ni full burudanimpaka walikuja kuomba michango maana boom walikatiwa na wengine walisota humo jela midhamana ilizingua
Walikuwa wanajidai sana wale jamaa.ila kuna mgomo wao mwanafunzi alifukuzwa walilazimisha watu wagome wakagoma wenyewe na yule mwanafunzi hakurudishwa ukaishia juu juu tu
shikamoo dadaMuwe mnatuamkia wakubwa zenu humu[emoji134][emoji134][emoji134]
kipindi hicho hicho kuna dada machachari sana nae alikua miongoni mwa waliofukuzwa chuoDuuuuuuuuu.We acha Alshabab alikuwa anajilazimisha kuongea kama mzungu kwa ulimi kuupeleka kooni.πππππyaani kwenye theatre ni full burudani