Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
kundi gumu sana lakini nitasubiri surprise kutoka ivory coast nawaamini sana.
Kindly please cast your vote on the above poll!
flat screen 30'deh deh deh. hilo g , hapo g angeingizwa taifa stars angetolewa kabla mashindano kuanza. deh deh deh. acha nikanunue tv mpya.
plazma 52' lile la darini , ashley cole unamuona mrefu kuliko hasheem thabit. deh deh deh. lazma kikwete aje kuangalia mpira home.flat screen 30'
hahahahaha akikusikia JK ohooooplazma 52' lile la darini , ashley cole unamuona mrefu kuliko hasheem thabit. deh deh deh. lazma kikwete aje kuangalia mpira home.
possibly group G, ndo la kifo maana hapo ni balaaa, kuna brazil, portugal, ivory cost hapa ni vita muraaaa, mdebwedo hapo ni north korea tu.
Je ni nani atapina hatua ya kwanza hili kundi G?????? Hilo ndilo la kujiuliza sasa, me ni Brazil na Ivory Cost
mimi nahisi wareno na samba boyz. code di voa wazuri lakini wana mzimu wa kiafrika unawaandama .
Wakuu wa game hili ndio kundi la kifo hakuna ubishi hapa kuwa timu ya Afrika tuliyoitegemea Ivory Coast imewekwa kwenye makaa ya moto. But hope tutashinda tu kwani kitu gani bwanaGroup G: Brazil, North Korea, Ivory Cost, Portugal
deh deh deh. hilo g , hapo g angeingizwa taifa stars angetolewa kabla mashindano kuanza. deh deh deh. acha nikanunue tv mpya.