2010 FIFA World Cup Draw

Kundi la kifo World cup 2010 ni...

  • Group C: England, USA, Algeria, Slovenia

    Votes: 0 0.0%
  • Group D: Germany, Australia, Ghana, Serbia

    Votes: 0 0.0%
  • Group E: Netherlands, Japan, Cameroon, Denmark

    Votes: 0 0.0%
  • Group F: Italy, New Zealand, Paraguay, Slovakia

    Votes: 0 0.0%
  • Group H: Spain, Honduras, Chile, Switzerland

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    12
hopeful this time we can achieve, confidence is a good factor as the Africans team are on their own land.
 
Naona kundi A ndio baya zaidi.. Ghana hapa ana nafasi nzuri

Ni kweli kundi A: South Africa, Mexico, Uruguay, France ni gumu, lakini Ghana angekuwepo hapa angepeta vizuri zaidi kuliko kundi lake. Serbia na german ni wagumu sana, kibaya zaidi hata Australia ya sasa si mchezo.
 
Binafsi naona makundi ya kifo ni mawili,kundi E na kundi G..Mpangilio mzima wa makundi ni kama inavyoonekana hapa chini:-


Group A

1.RSA
2.Mexico
3.Uruguay
4.France

Group B.

1.Argentina
2.Nigeria
3.Korea Republic
4.Greece

Group C

1.England
2.United States
3.Algeria
4.Slovenia

Group D

1.Germany
2.Australia
3.Serbia
4.Ghana

Group E

1.Netherlands
3.Denmark
3.Japan
4.Cameroon

Group F

1.Italy
2.Paraguay
3.New Zealand
4.Slovakia

Group G

1.Brazil
2.Korea DPR
3.Cote d’Ivoire
4.Portugal

Group H

1.Spain
2.Switzerland
3.Honduras
4.Chile
 
Ni kweli kundi A: South Africa, Mexico, Uruguay, France ni gumu, lakini Ghana angekuwepo hapa angepeta vizuri zaidi kuliko kundi lake. Serbia na german ni wagumu sana, kibaya zaidi hata Australia ya sasa si mchezo.
Mtazamo mzuri, lakini sidhani kama Ujerumani wana nafasi nzuri sana msimu ujayo, licha ya nafasi yako katika soka duniani. Serbia wanaweza kuwa tishio katika kundi hili zaidi ya Ujerumani na Australia. Ghana kwa mwaka huu wapo wazuri zaidi, na nategemea hata mwakani watakuwa hivyo.
 
Binafsi naona makundi ya kifo ni mawili,kundi E na kundi G..Mpangilio mzima wa makundi ni kama inavyoonekana hapa chini:-


Group A

1.RSA
2.Mexico
3.Uruguay
4.France

Hawa pamoja na kuwa ni wenyeji wana kazi ya ziada kufuzu kwenye kundi hili. Hivyo kimtazamo wa Uwenyeji hili ni kundi baya zaidi kwa timu za Afrika
 
Its very disgusting to see Ivory Coast has been slated to play with Brazil, Portugal and North Korea. However this should be weighed as a challenge for Ivory Coast and look forward to something we do expect.

African teams need to be determinant and confident as they are playing in their own land.As we know in football..impossible is nothing, we need not give up at this point of time.

Swala la makocha na team kuanza kujitetea kuwa wapo kwenye kundi la kifo hata kabla ya mpambano ni kujipotezea matumaini. Tatizo kubwa la wachezaji wetu ni kutokujiamini this time we need to provide full support to our team ili tujiwekee history.

Mungu ibariki Afrika.
 
Dakika chache zilzopita huko Sauth Afrika,ratiba kamili ya kombe la Dunia itakayoanza mwezi June,2010 imetangazwa na yafuatayo ndiyo makundi ya timu hizo;

A
South Africa
Mexico
Uruguay
France

B
Argentina
Nigeria
South Korea
Greece

C
England
United States
Algeria
Slovenia

D
Germany
Australia
Serbia
Ghana

E
Netherlands
Denmark
Japan
Cameroon

F
Italy
Paraguay
New Zealand
Slovakia

G
Brazil
North Korea
Ivory Coast
Portugal

H
Spain
Switzerland
Honduras
Chile
 
Kwa haraka, timu nne za Afrika zinaenda roundi ya pili....
 
mbona siajona tanzania?
Utaiona vipi Tanzania wakati wananchi wake wavivu kila siku wanawapiga madongo wabeba mabox????Hizo nchi za Africa zilizoingia hapo wameanza kupiga mabox long time ndo wako fit.ie.wachezaji wao wengi wanacheza soka ughaibuni...lini Tz tutatoa mchezaji wetu hata acheze League 2 ya Uingereza....Ni ndoto kwani si leo wala kesho.Anyway kwa kifupi Tz hatuna exposure.
 
cku mbili kabla drogba alikuwa anahojiw akawa anaomba asipangwe kundi moja na brazili
 
Back
Top Bottom