NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,726
Baada ya mchezo wa shield community (ngao) Simba sc walichukua taji.
Kwenye interview walisema "huu ni mwanzo mzuri tumefungua msimu vizuri na siku zote atakayechukua kombe hili huwa anachukua kombe la ligi"
Simba sc walipata Dondokela ya African league (AFL) yalikuja maneno mengi sana ikiwepo moja ya ndoto zao ni kuchukua kombe la AFL pasipo kujali kuwa hiyo ilikuwa ni Dondokela tu kwa Simba SC.
Baada ya kutoka Kapa kwenye michuano ya AFL walirudi kwenye ligi Wakiwa na matumaini ya kuchukua kombe la Nbcpl.
Baada kudondosha point kwa mtani wao Yanga Sc, na point mbili muhimu kwa Namungo pamoja na KMC, matumaini ya kuchukua kombe lolote ndani Yamefutika kabisa.
Sasa ndoto zimehamia kushiriki klabu bingwa Dunia FIFA na hapo ni tia maji tia maji maana kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa Simba sc Ina Hali mbaya haijui mwisho wake utaisha vipi?!
Maoni Yangu: Upepo wa klabu bingwa Dunia FIFA upo ili KUBADILI Kelele na kuaipoza mashabiki wasipige kelele juu za timu Yao yenye mwenendo mbovu huo ndiyo ukweli usiopingika.
Kwenye interview walisema "huu ni mwanzo mzuri tumefungua msimu vizuri na siku zote atakayechukua kombe hili huwa anachukua kombe la ligi"
Simba sc walipata Dondokela ya African league (AFL) yalikuja maneno mengi sana ikiwepo moja ya ndoto zao ni kuchukua kombe la AFL pasipo kujali kuwa hiyo ilikuwa ni Dondokela tu kwa Simba SC.
Baada ya kutoka Kapa kwenye michuano ya AFL walirudi kwenye ligi Wakiwa na matumaini ya kuchukua kombe la Nbcpl.
Baada kudondosha point kwa mtani wao Yanga Sc, na point mbili muhimu kwa Namungo pamoja na KMC, matumaini ya kuchukua kombe lolote ndani Yamefutika kabisa.
Sasa ndoto zimehamia kushiriki klabu bingwa Dunia FIFA na hapo ni tia maji tia maji maana kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa Simba sc Ina Hali mbaya haijui mwisho wake utaisha vipi?!
Maoni Yangu: Upepo wa klabu bingwa Dunia FIFA upo ili KUBADILI Kelele na kuaipoza mashabiki wasipige kelele juu za timu Yao yenye mwenendo mbovu huo ndiyo ukweli usiopingika.