faby
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 2,214
- 768
Ata mimi nimemshangaa unauziwa old model ya 1998 alafu unaifananisha na new shape ya 2007 !!!
Jamaa dizaini katoka bush juzi juzi yaani hiyo range rover yake hata milioni 5 sinunui tena ikiwa hapa hapa tz ishalipiwa kila kitu...
By the way hii bei ya rav4 inabidi iwe between 20-30m not more than 30