2007 Rav 4

2007 Rav 4

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
784
Reaction score
327
Habari wakuu,

Gari iko sokoni kwa mwenye uhitaji naomba tuwasiliane kwa pm kwa maelezo zaidi.

Sijaweka bei sababu huwa inasababisha unnecessary discussions.

Details:
Year: 2007
Engine: 2360cc, VVTi
Drive: 4WD
Mileage: 62000km
Push to start
 

Attachments

  • 1407664046277.jpg
    1407664046277.jpg
    77.3 KB · Views: 1,040
  • 1407664067834.jpg
    1407664067834.jpg
    67.3 KB · Views: 878
  • 1407664105389.jpg
    1407664105389.jpg
    69.2 KB · Views: 865
  • 1407664126869.jpg
    1407664126869.jpg
    65.8 KB · Views: 841
  • 1407664144819.jpg
    1407664144819.jpg
    52.6 KB · Views: 819
  • 1407664161084.jpg
    1407664161084.jpg
    58 KB · Views: 813
Ongeza maelezo basi, hii gari ipo wapi? Imesajiliwa au vp? Mambo ya road licence na insurance. Maelezo haya yatasaidia kufanya uamuzi.
 
Ongeza maelezo basi, hii gari ipo wapi? Imesajiliwa au vp? Mambo ya road licence na insurance. Maelezo haya yatasaidia kufanya uamuzi.

Location ya gari ni Dar es salaam na haijasajiriwa bado inangoja mteja ili isajiriwe na kufanyiwa tranfer kwenda jina la mteja. Kwa makubaliano ya bei njoo PM mkuu
 
kwa nini nisichukue prado au landrover discovery
 
Aise millioni 30 ni nyingi sana kwa gari kama Rav 4. Si ni bora nivute mashine ya kueleweka kama Range Rover, BMW, Prado, etc na chenchi bado itabaki. Nyumbani ukipaki mashine ka hizi lazima majirani wakuheshimu, sio unapaki Rav 4 alafu unataka uonekane upo juu ya wenye Range Rover. Tumia pesa vizuri, kamata Range Rover P38 hapo au BMW X5/X3..
 
aise millioni 30 ni nyingi sana kwa gari kama Rav 4. Si ni bora nivute mashine ya kueleweka kama Range Rover, BMW, Prado, etc na chenchi bado itabaki. Nyumbani ukipaki mashine ka hizi lazima majirani wakuheshimu, sio unapaki Rav 4 alafu unataka uonekane upo juu ya wenye Range Rover. Tumia pesa vizuri, kamata Range Rover P38 hapo au BMW X5/X3..

Agizia mkuu, gari za ukweli sana hizo.
 
Hivi hizo gari ulizoziweka wajua gharama za kuzisafirisha na ushuru wake ???ukizingatia ni old shape na zina uchakavu,niliingiza Harrier ya mwaka 2007 mwezi uliopita ushuru ulikuwa 14ml,ushuru wetu upo juu sana.

Hilo gari ulilotuwekea ni la mwaka 1998 very old shape na ni dola zaidi ya 6000 ukiibadili kwa madafu ni zaidi ya 10ml pamoja na kulisafirisha.Njia nzuri ya kununua used vehicles ni kuliona maana mengine injini ni vimeo online ni Risk
 
aise millioni 30 ni nyingi sana kwa gari kama Rav 4. Si ni bora nivute mashine ya kueleweka kama Range Rover, BMW, Prado, etc na chenchi bado itabaki. Nyumbani ukipaki mashine ka hizi lazima majirani wakuheshimu, sio unapaki Rav 4 alafu unataka uonekane upo juu ya wenye Range Rover. Tumia pesa vizuri, kamata Range Rover P38 hapo au BMW X5/X3..

1262wz9.jpg

2hxu0ao.jpg

120tezn.png

w8w1hc.jpg

i1xv5s.jpg

Duuuuu we ni bonge la mshambaa.
CYBERTEQ
 
Last edited by a moderator:
Ata mimi nimemshangaa unauziwa old model ya 1998 alafu unaifananisha na new shape ya 2007 !!!
 
aise millioni 30 ni nyingi sana kwa gari kama Rav 4. Si ni bora nivute mashine ya kueleweka kama Range Rover, BMW, Prado, etc na chenchi bado itabaki. Nyumbani ukipaki mashine ka hizi lazima majirani wakuheshimu, sio unapaki Rav 4 alafu unataka uonekane upo juu ya wenye Range Rover. Tumia pesa vizuri, kamata Range Rover P38 hapo au BMW X5/X3..

1262wz9.jpg

2hxu0ao.jpg

120tezn.png

w8w1hc.jpg

i1xv5s.jpg

agiza zije kuozea bandarin kwa ushuru....
 
Back
Top Bottom