20% Apelekwa Mahakamani Kwa Kukutwa na Kilo 20 za BANGI

Bob Marley has always defended this often maligned herb. He equated condemnation of this natural herb with blasphemy. How could a plant created by God be made illegal by humans? "You mean they can tell God that it's not legal?"
 
hizo zilikuwa ni kwa ajili ya matumizi binafsi tu, wam-release bana..!
 
Yote maisha wamwachie tu akauze zake bange zake, nani kamshika? hao nao utakuta wanatembelea kwa akina mama wauza gonge na defender zao wezi wakubwa hawawashiki.
Sasa naamini kazi ya polisi ni kushika wapika gongo na wauza bange na mabomu ya machozi
 

Polisi inabidi wawakamate wasanii wote wanao tumia vinginevyo twaweza sema polisi kuna mkono wa mtu umetumika kumhujumu 20%
 
afadhali huyo
kuliko hawa chini wanaopita airport na G47 FULL NONDO
MR BLUE
SIJUI NIENEDELEE
ANAYWAY NISUBIRI KWANZA KESI YAKEE 20 PERC INAISHAJE
 
bangiii ni bangue,sijuii ninii na niniii?that bangi lazimaa ikufanyee kichaaaa,polisi,wanajeshii,viongozii wengii na watu mashuhurii ni watumia jii wazuriii wa hii kitu bangeeee,but wana vuta private sio public.
 
Bangi ni ishu yaani kitu kinapanda balaa big up kwa wote tunaovuta wenye nazo na wasio nazo daahhh stimuuuu
 
Source Ilikuwa kipindi cha Amplifier Cha Millard Ayo
 
Hicho kitu cha msumbiji, kinafanania na cha malawi. Bangi nooooumar,waya za umeme unaona ni kamba za kuanikia nguo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…