20% Apelekwa Mahakamani Kwa Kukutwa na Kilo 20 za BANGI

Nilivosikia mimi ktk clouds fm amekamatwa na gram 20 tu za bang na sio kgs 20 kama inavoripotiwa hapa jf.
 
Nilivosikia mimi ktk clouds fm amekamatwa na gram 20 tu za bang na sio kgs 20 kama inavoripotiwa hapa jf.

Hiyo THREAD IMEKOPIWA na ku KUPESTIWA kutoka Kwenye WEBSITE Ya MILLARD AYO wa CLOUDS FM..Labda haukusikia vizuri au yeye alikosea ku-post kwny web yake..
 
Hata Uswisi sio kosa tena wao wametenga maeneo mahsusi ya kuvutia bangi na mihadarati, kwa mji wa Bern, eneo huru la kuvutia ni mbele ya jengo la bunge la nchi hiyo, The Bundes House, hii inafanya kuingiza mihadaraji nchini humu sio dili.

20% kakutwa na 20 grams, hicho ni kiwango kidogo halali kwa matumizi yake.

Kosa la kukutwa na bangi, linatakiwa lifanywe kama kosa la kufanya mapenzi hadharani, ukifanya private sio kosa.
Kuna yule lecture wa UDSM, Mjamaica, alikutwa anavuta hadharani, akapelekwa mahakamani, akakiri kuwa anatumia hiyo kitu na bila kuitumia hawezi kufanya chochote, alilipishwa faini na kuachiwa, ila aliambiwa akiitumia, aitumie private sio public!.

Nakumbuka enzi za O-level Tambaza, hiyo kitu ilitumika sana kule juu summit, wengi wa watumiaji walitoka na Div I kali, hivyo nilipojoin form V Ilboru, niliijaribu ili nami nifumue one, unfortunately mimi ilinituma vibaya!.

Ndio maana hoja za kulegalize zina uhalali fulani, tufike mahali tukubali, wale zinaowatuma vizuri, waruhusiwe kuitumia hiyo kitu, kuna wengi zinawatuma vizuri na kuna justified medical use ya marijuana kusaidia magonjwa fulani na kupunguza acute pain, na wengine inawapa raha ya ajabu katika ile game.

Lakini iendelee kupigwa marufuku kwa wale inaowatuma vibaya. Angalizo, sigara ya kawaida ina sumu ya nicotine kuliko bangi. Na kikombe kimoja cha kahawa, kina cafeine nyingi zaidi ya kusabisha addiction kuliko msokoto mmoja wa Bangi!.

acha kusifia ulevi ***** wewe mwenyewe unajiona mjanja kualarisha bhange kwa reference ya miji ya wazungu kwani mzungu akiliwa tigo na wewe utatoa jicho acha kupoteza watoto
 
bange inavumbua tabia asili za mvutaji hivyo kama wewe tabia asili yako ni mzubavu lakini
kwa njia moja ama nyingine umefanikiwa kuficha huo uzubavu wako basi siku ukivuta tuu
tabia asili inachomoza hadharani. ndio maana utakuta mtu mchangamfu anaweza vuta
akazubaa. hivyo hivyo kama wewe tabia asili yako ni katili flani basi ukivuta tu tabia asili yako
inachomoza. wapo ambao wakivuta wanatunga mashairi deep sana kwani tabia asili yao
ni utunzi.

kwa vile wengi wetu hatujui tabia asili zetu ni bora kukaa mbali na hii kitu kwani inaweza ibua
tabia asili ambazo bora zingekaa huko huko zinakojificha :)
 
Sitosahau huyu jamaa alichokifanya pale msamvu kipindi kile kashinda tuzo kibao Cha kili

Alikuwa kwenye basi sijui anaenda Dodoma au tabora alikaa siti ya nyuma

Akapanda kwenye siti akatoa makalio yake dirishani akavua suruali yake aliyovaa mlegezo tundu likaonekana nje akatingisha kidogo

Wapiga debe wote wa msamvu Moro. Full kushangilia heheeh

Ama kweli bangi mbaya
 
Sitosahau huyu jamaa alichokifanya pale msamvu kipindi kile kashinda tuzo kibao Cha kili

Alikuwa kwenye basi sijui anaenda Dodoma au tabora alikaa siti ya nyuma

Akapanda kwenye siti akatoa makalio yake dirishani akavua suruali yake aliyovaa mlegezo tundu likaonekana nje akatingisha kidogo

Wapiga debe wote wa msamvu Moro. Full kushangilia heheeh

Ama kweli bangi mbaya
Tundu likaonekana sio 🤣🤣🤣
 
Sitosahau huyu jamaa alichokifanya pale msamvu kipindi kile kashinda tuzo kibao Cha kili

Alikuwa kwenye basi sijui anaenda Dodoma au tabora alikaa siti ya nyuma

Akapanda kwenye siti akatoa makalio yake dirishani akavua suruali yake aliyovaa mlegezo tundu likaonekana nje akatingisha kidogo

Wapiga debe wote wa msamvu Moro. Full kushangilia heheeh

Ama kweli bangi mbaya
Hivi siku hizi yuko wapi huyu jamaa
 
Back
Top Bottom