Hatukatai wanatumia lakini kilo 20 ni nyingi ndugu yangu hapa atakuwa muuzaji sio tena mtumiaji,Uholanzi ukikamatwa na misokoto 2-3 sio kesi lakini zikizidi 10 unalo.Ajabu nini hapo? Wasanii wengi wanatumia hii kitu
Mwanamuziki Twenty Percent 20% amepelekwa mahakamani leo mkoani LINDI baada ya kukutwa na KILO 20 ZA BANGI katika gari lake siku nne zilizopita
Mwanamuziki Twenty Percent 20% amepelekwa mahakamani leo mkoani LINDI baada ya kukutwa na KILO 20 ZA BANGI katika gari lake siku nne zilizopita
Hata Uswisi sio kosa tena wao wametenga maeneo mahsusi ya kuvutia bangi na mihadarati, kwa mji wa Bern, eneo huru la kuvutia ni mbele ya jengo la bunge la nchi hiyo, The Bundes House, hii inafanya kuingiza mihadaraji nchini humu sio dili.Hatukatai wanatumia lakini kilo 20 ni nyingi ndugu yangu hapa atakuwa muuzaji sio tena mtumiaji,Uholanzi ukikamatwa na misokoto 2-3 sio kesi lakini zikizidi 10 unalo.
Mwanamuziki Twenty Percent 20% amepelekwa mahakamani leo mkoani LINDI baada ya kukutwa na KILO 20 ZA BANGI katika gari lake siku nne zilizopita