Hello wana JF
mi ni mara yangu ya kwanza kupost my issue katika jamvi la JF.
naomba kujua mwenye under capeti info' ya lini second selection ya graduate kwa post za police inaweza kuwa out, mi nimiongoni mwa walio ombaga.
asanteni waungwana:rain::rain::rain:
Exactly2nd selection kivipi?au umedanganywa,maana hao waliochaguliwa wameenda CCP Jumapili iliyopita.Selection ni moja tu,chombo cha dola siyo kama shule ya kata,aliyekupa taarifa anakupa moyo tu.Na kwa taarifa yako wengi waliochaguliwa wana ndugu au watu wanaowafahamu huku,ushaidi ninao wa kutosha
mkuu kwanza niweke sawa, huko hakuna undugu, kma ulifanya usaili na ukapita hakuna longo longo.
Watu wameenda moshi jpili lakini ni watu wa it tena sio wote, wengine wamebakishwa zaidi ya 200 kwasababu ccp haina uwezo wa kuwachukua wote kwa wakati mmoja.
Hao 200 wataajiriwa kwanza then ccp wataenda baadae.