Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,690
- 5,661
Ngoja nione anakura ngapi
Ngoja nione anakura ngapi
Hayupo kwenye List.Ngoja nione anakura ngapi
Naomba unitag nione , mbona sijui kinachoendelea kuhusu Mimi na kwenye jambo gani nimepata kula chache na wapuuzi gani wamehusika kuniweka kwenye mambo ya hovyo niwashughulikie mara Moja ?Kisa kule umepewa kura chache 😁?
Tawire 🤝Braza Evelyn Salt na Numbisa tuzo inawahusu
Ongeza hawa mabro Vincenzo Jr Mbaga Jr The Icebreaker kwa mwaka huu wapo kila sehemu
Kuna watu wakikosekana au vitu Fulani vikikosekana huwa hiko kitu automatically kinakosa maana.Rudi juu tena, kwenye mada husika,kisha soma Paragraph ya pili kwa umakini zaidi,
Au ngoja nikuwekee hapa;
"Mimi nimeona tuanzie kuwapigia kura hawa. Pendekeza nan aongezweKwa List"
Mpe Numbisa✅✅✅✅✅✅✅✅
Bila kuwepo jina la Lamomy ambaye ni mchangiaji bora wa JF list haina maanaPigia kura Member bora wa JF kwa vigezo.
Mimi nimeona tuanzie kuwapigia kura hawa. Pendekeza nan aongezweKwa List
Disclaimer: Haya ni maoni yangu binafsi.
Na pia sio ushindan na hakuna zawad ila ni Kuwapa Motisha kwa kuwatambua na kuthamini michango yao.
Kwangu JF wote ni bora.
Japo Robert Mtibeli ni charlatan tu, lakini bila kumuweka kura zako poll yako haina tofauti na ya INEC.
Mkuu Mimi hupendelea kuchangia kwenye nyuzi zenye elements za nyeto tu 😂.Kama hayupo secretarybird au Busu la Kenge huu uzi tayari ushakosa maana , mleta mada pombe zishamchanganya tayari
Ghayo The kankara.... Kiweed weed.Uzi wa kipuuzi huu sichangii chochote
Umekosa pakutumia bange zako mkuu ?
Kaka Evelyn Salt na Mkuu Numbisa kwa kiukeni.
Kiumeni
HAYA LAND HOV japo kauvaa uchawa dakika za jioni.
ERoni
Eyce
Hao ni wachangiaji Bora kwa mwaka huu Kila mmoja kwa idara yake.