2.6% ya ndoa huvunjika kwa amri ya ndugu

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Nisiwe mchoyo wa takwimu na data mzee wenu niliyejizika kwenye takwimu. Ndugu zangu 2.6% ya ndoa huvunjika kwa amri ya ndugu. Hizi ni takwimu za NBS ndugu zangu 'The 2021 Social Institutions and Gender Index (SIGI) - Tanzania Survey Report'

Aidha wengi sana wanaachana kwa ugomvi badala ya kukubaliana. Takwimu zinaonesha ni 9.3% ya wenye mahusiano huachana kwa kubaliana kuachana. Wengine huwa ni mawazo ya upande mmoja, yaani aidha mwanamke au mwanaume anaamua kumuacha mpenzi wake. Kimsingi wanaume ndio wanaongoza kwa kuwaacha wanawake bila kusikiliza 45.8% huku wanawake 42.3 ndio huwaacha wanaume bila kuwa na makubaliano.

Wazee sipingi talaka, lakini nadhani ili kuwa na kuachana kwenye maslahi kwa watu wote ni heri kuachana kwa kukubaliana, na isiwe kuacha. Aidha, ndugu wasipewe nafasi kwenye suala la talaka.
 
Nisiswe mchoyo wa takwimu na data mzee wenu niliyejizika kwenye takwimu. Ndugu zangu 2.6% ya ndoa huvinjika kwa amri ya ndugu. Hizi ni takwimu za NBS ndugu zangu 'The 2021 Social Institutions and Gender Index (SIGI) - Tanzania Survey Report'
Hii takwimu sipingani nazo kwa asilimia 90% nakubaliana nazo 9.3% kuachana kwa kukuballiana ni sahihi ndoa chache sana watu huachana kwa kukuballiana, aidha upande wa ndugu nao inachukua asilimia kadhaa kuachanisha watu ktk ndoa
 
Aiseee mbn mahusiano changamoto sana
Kwa hiyo nipambane kupendwa na mwanaume nikimaliza nipambane kupendwa na mama mkwe pia! Ooh
 
Aiseee mbn mahusiano changamoto sana
Kwa hiyo nipambane kupendwa na mwanaume nikimaliza nipambane kupendwa na mama mkwe pia! Ooh
😂Aloo kazi tunayo afu ukute ma mkwe kisirani anataka umtafte wewe umsalimie usimtafte week Sasa hizo tuhuma
 
Wana ndoa, msiruhudu NDUGU kuvunja ndoa zenu, kaeni mbali muendeshe maisha yenu, NDUGU wake kusalimia na kusepa.
 
Kataa ndoa ndoa ni utapel
1677491500428.jpg
 
Back
Top Bottom