1995 - 2017 RIP Wanamtandao wa CCM

1995 - 2017 RIP Wanamtandao wa CCM

Wewe una genye Chadema wanandugu yao pale bandar au airport kwamba tutapitisha dawa kama walivyo SSM? Kachambe kwanza kabla hujaitaja Chadema mbweha weye!
 
As

Asante mkuu. JK ni masta acha kabisa
Aliwazidi wenzake kwa mbali,, na kosa lingine la Lowassa ni kushindwa kutoka CCM na kupambana na JK MWAKA 2010,,,,
Bado aliendelea kuamini kiinimacho cha JK kwamba atampa nafasi kumbe haikuwa. Kosa kubwa sana
 
Je utaweza kuyathibitisha haya maneno yako ukiwa mahakamani au ndio upayukaji wa usiyoyajua?
So kila kitu ni "mahakama material" Hivi ikitokea ukamkuta mmoja wa wazazi wako anachepuka unamwambia mwingine kwa vile ni ukweli? So kila ukweli unawekwa hadharani ingawa unaweza kuwa unajulikana kwa wote!
 
Alichofanya Mwenyekiti ni kuweka mtandao wake. Kawapiga wapinzani ikiwa ni maandalizi ya 2020. Ila by 2025, huo ''mtandao'' aliousambaritisha utakuwa umeshajikusanya na kufanya yao. Mitandao ndani ya chama haiwezi kufyekwa kirahisi namna hiyo. Hata waliobaki wataendeleza chini kwa chini, ambayo ni hatari zaidi.
Mkuu 2017 ukaweka maono ya 2025
 
Tatizo kubwa la kina Ngoyai Lowassa na Rostam Azizi ilikuwa ni kufanya kosa la kumkaribisha JK kikwete kwenye mtandao waliounda kwa ajili ya kuwaingiza Madarakani Miaka ya 90,s.JK Kikwete lengo lake halikuwa kuuendeleza mtandao bali kuutumia kama mgongo wa kuingia madarakani kisha baada ya hapo kuumaliza kabisa(kama alivyokuwa ameamuliwa na wazee wake Ngoyai Lowassa aliukabidhi mtandao kwa mtu ambaye hakumjua vizuri, aliamini sana kwenye urafiki, na WASWAHILI WALISEMA KOSA MOJA GOLI MOJA. JK, Alianza na kummaliza moja ya mkubwa, kigogo na Mwanzilishi wa Mtandao kwa operation maarufu ya Vua Gamba... Rostam Aziz akachomoka,,, Baadaye akamalizana na Ngoyai Lowassa,, na sasa wamemfukuza kada kindaki kindaki wa mtandao Sophia Simba..................
Mbaya wa mtandao ni JK,,, AMAEUMALIZA, kwa sababu alijua siri zake zote. Lakini hakuwa muumini wala mmiliki wa Mtandao.. Hilo lilikuwa kosa kubwa sana kisiasa kwa Lowassa kumkaribisha na kumpa nafasi Kikwete katika mtandao....... IT WAS POLITICAL SUICIDE.......................................na sijui kama kuna njia nyingine ya Reinvention kwa LOWASSA................Inaweza ikawa mwisho wa GAME...............................time will tell
Na ndo mwisho mpaka Sasa
 
Back
Top Bottom