1995 - 2017 RIP Wanamtandao wa CCM

1995 - 2017 RIP Wanamtandao wa CCM

CCM KAMWE haiwezi kuonyesha umakini kwa kuendelea kuwakumbatia wahuni, mafisadi, wala rushwa, majangili, wizi, Bashite etc.

Miezi michache tu iliyopita pale mtaa wa lumumba wamegawana rushwa ya milioni 10 kila mbunge ili wapitishe muswaada uchwara wa kuminya uhuru wa habari nchini.
Vipi wale Mashekhe sasa Hivi ni Halali
 
Kufuatia kwa kutimuliwa kwa viongozi waandamizi wa CCM hiyo dalili tosha kwa chama hicho kimechoka kuwa na makundi ndani ya chama ambao kazi kupigia debe mtu katika nia ya kutwaa madaraka.

Nakumbuka mwaka 2005 jinsi hawa Wanamtandao walivyotumia kila aina ya mbinu ili kuchukua madaraka pamoja na kutoa kashfa mbaya sana dhidi ya mgombea mwenzao Dk Salim Ahamed Salim.

Sasa ni wakati wa wabunge kama kina Bashe wajitafakari upya la sivyo wataonyeshwa milango kama hao wengine waliotimuliwa.

Kwa maamuzi ya mkutano mkuu CCM imeonyesha wanachama wako makini katika kumuunga mkono Mwenyekiti wa CCM kupitia Kamati kuu katika kuleta CCM yenye matumaini.
Machoni unaweza kuona hivyo, lakini mioyoni mwa baadhi ya wanachama na mashabiki,maamzi ya Jana ambayo yalikuwa utake usitake lazima ukubaliane yametegeneza mtandao mwingine mpya na hatari zaidi ndani na nje ya chama. Muda ni mwamzi,ngoja tusubiri.
 
Kufuatia kwa kutimuliwa kwa viongozi waandamizi wa CCM hiyo dalili tosha kwa chama hicho kimechoka kuwa na makundi ndani ya chama ambao kazi kupigia debe mtu katika nia ya kutwaa madaraka.

Nakumbuka mwaka 2005 jinsi hawa Wanamtandao walivyotumia kila aina ya mbinu ili kuchukua madaraka pamoja na kutoa kashfa mbaya sana dhidi ya mgombea mwenzao Dk Salim Ahamed Salim.

Sasa ni wakati wa wabunge kama kina Bashe wajitafakari upya la sivyo wataonyeshwa milango kama hao wengine waliotimuliwa.

Kwa maamuzi ya mkutano mkuu CCM imeonyesha wanachama wako makini katika kumuunga mkono Mwenyekiti wa CCM kupitia Kamati kuu katika kuleta CCM yenye matumaini.
Tanzania bila kuondoka CCM haiwezi kupiga nusu hatua mbele CCM ni majanga tu
 
Mla rushwa nani, fisadi nani?, mwizi nani? Wakati hao watu wote uliowataja wapo huko kwenu na ndo chaka lao la kukimbilia.
Chenge, Ngereja, Magufuli, Mkapa, Kikwete, Muhongo, Tibaijuka, Mwakyembe, hawa ni kwa uchache sana
 
Wauza madawa ya kulevya na mafisadi wamejibanza chadema
Kama ni kweli uyasemayo basi nchi hii hakuna serikali inayojielewa na haina uhalali wa kuendelea kuwepo mahakama, jeshi la Polisi na vyombo vyote vya dola vipo kwanini hawa watu wasifikishwe kwa vyombo vya sheria?!
 
Kinachofanyika ni kuuwa mitandao iliyopita na kujenga mipya, sasa naona hii mipya inajengwa kikanda zaidi, na kanda nyingine zitakapoungana itakuwa rahisi kudondosha mbuyu, mana nauona mizizi take haijaenda sana chini na ile ya chini imeanza kuoza
Mtandao wa Sizonje ni Bashite, Gambo, PK, Mu7, Geshi la wananchi Tz.
Ila huko geshini hajui kwamba kumegawanyika haswa kutokana na kwamba Sizonje yuko kikabila zaidi
 
CCM KAMWE haiwezi kuonyesha umakini kwa kuendelea kuwakumbatia wahuni, mafisadi, wala rushwa, majangili, wizi, Bashite etc.

Miezi michache tu iliyopita pale mtaa wa lumumba wamegawana rushwa ya milioni 10 kila mbunge ili wapitishe muswaada uchwara wa kuminya uhuru wa habari nchini.

Nikisoma bandiko zako za nyuma ni mtu makini sana kichwani.

Sijui ni kitu gani kimekugeuza hadi kujitahidi sana kuonesha ubingwa wako wa uzushi na umbea.

"Hapa kazi tu" inakusomesha namba kiasi unahitimu kuitwa Profesa Udaku.
 
Aksante Jakaya Kikwete kwa Kazi kubwa sana ya kuusamabaratisha.

Mtandao uliokuingiza Mamlakani
Tatizo kubwa la kina Ngoyai Lowassa na Rostam Azizi ilikuwa ni kufanya kosa la kumkaribisha JK kikwete kwenye mtandao waliounda kwa ajili ya kuwaingiza Madarakani Miaka ya 90,s.JK Kikwete lengo lake halikuwa kuuendeleza mtandao bali kuutumia kama mgongo wa kuingia madarakani kisha baada ya hapo kuumaliza kabisa(kama alivyokuwa ameamuliwa na wazee wake Ngoyai Lowassa aliukabidhi mtandao kwa mtu ambaye hakumjua vizuri, aliamini sana kwenye urafiki, na WASWAHILI WALISEMA KOSA MOJA GOLI MOJA. JK, Alianza na kummaliza moja ya mkubwa, kigogo na Mwanzilishi wa Mtandao kwa operation maarufu ya Vua Gamba... Rostam Aziz akachomoka,,, Baadaye akamalizana na Ngoyai Lowassa,, na sasa wamemfukuza kada kindaki kindaki wa mtandao Sophia Simba..................
Mbaya wa mtandao ni JK,,, AMAEUMALIZA, kwa sababu alijua siri zake zote. Lakini hakuwa muumini wala mmiliki wa Mtandao.. Hilo lilikuwa kosa kubwa sana kisiasa kwa Lowassa kumkaribisha na kumpa nafasi Kikwete katika mtandao....... IT WAS POLITICAL SUICIDE.......................................na sijui kama kuna njia nyingine ya Reinvention kwa LOWASSA................Inaweza ikawa mwisho wa GAME...............................time will tell
 
Dah..... Ahsante JK kwa kusambaratisha magenge ya wahuni waliotaka kujimilikisha nchi hii..... Laana kwa Mbowe kwa kuvuruga upinzani nchini ....
 
Kufuatia kwa kutimuliwa kwa viongozi waandamizi wa CCM hiyo dalili tosha kwa chama hicho kimechoka kuwa na makundi ndani ya chama ambao kazi kupigia debe mtu katika nia ya kutwaa madaraka.

Nakumbuka mwaka 2005 jinsi hawa Wanamtandao walivyotumia kila aina ya mbinu ili kuchukua madaraka pamoja na kutoa kashfa mbaya sana dhidi ya mgombea mwenzao Dk Salim Ahamed Salim.

Sasa ni wakati wa wabunge kama kina Bashe wajitafakari upya la sivyo wataonyeshwa milango kama hao wengine waliotimuliwa.

Kwa maamuzi ya mkutano mkuu CCM imeonyesha wanachama wako makini katika kumuunga mkono Mwenyekiti wa CCM kupitia Kamati kuu katika kuleta CCM yenye matumaini.
Utasimangwa mpaka ukome, wenzio wana sema eti CCM inakufa
 
As
Tatizo kubwa la kina Ngoyai Lowassa na Rostam Azizi ilikuwa ni kufanya kosa la kumkaribisha JK kikwete kwenye mtandao waliounda kwa ajili ya kuwaingiza Madarakani Miaka ya 90,s.JK Kikwete lengo lake halikuwa kuuendeleza mtandao bali kuutumia kama mgongo wa kuingia madarakani kisha baada ya hapo kuumaliza kabisa(kama alivyokuwa ameamuliwa na wazee wake Ngoyai Lowassa aliukabidhi mtandao kwa mtu ambaye hakumjua vizuri, aliamini sana kwenye urafiki, na WASWAHILI WALISEMA KOSA MOJA GOLI MOJA. JK, Alianza na kummaliza moja ya mkubwa, kigogo na Mwanzilishi wa Mtandao kwa operation maarufu ya Vua Gamba... Rostam Aziz akachomoka,,, Baadaye akamalizana na Ngoyai Lowassa,, na sasa wamemfukuza kada kindaki kindaki wa mtandao Sophia Simba..................
Mbaya wa mtandao ni JK,,, AMAEUMALIZA, kwa sababu alijua siri zake zote. Lakini hakuwa muumini wala mmiliki wa Mtandao.. Hilo lilikuwa kosa kubwa sana kisiasa kwa Lowassa kumkaribisha na kumpa nafasi Kikwete katika mtandao....... IT WAS POLITICAL SUICIDE.......................................na sijui kama kuna njia nyingine ya Reinvention kwa LOWASSA................Inaweza ikawa mwisho wa GAME...............................time will tell
Asante mkuu. JK ni masta acha kabisa
 
Back
Top Bottom