Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,368
Kifo alimwendea kijana nakumwambia ''leo ni siku yako''Kijana akajibu ''sipo tayari''kifo akamwambia tena ''ila jina lako ndo linalofuata kwenye list yangu''Kijana akamjibu kifo ''kwanini usikae chini nikupe chakula ule kwanza?''kifo akajibu apewe huo msosi.Kijana akampa chakula ambayo amechanganyia na dawa za usingizi,kifo alipokula akajikuta amelala,kijana akachukua karatasi yenye majina na kulifuta jina lako mwanzoni na kuliweka mwisho...kifo alipoamka akamwambia kijana,''kwa ukarimu ulionifanyia nitaanza na mtu wa mwisho kwenye list kuja juu''.. mh kijana akaanza kujikojolea.