Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,711
- 33,961
180 wakamatwa kwa 'maandamano ya Kinyesi' Afrika Kusini
Ukosefu wa usafi wapelekea wananchi kuandamana wakitumia kinyesi ishara ya kukosa vyoo mjini Cape Town.
Kiongozi wa upinzani naye alitupiwa takataka na wananchi waliojawa ghadhabu wakitaka kujengewa vyoo vya kutosha
Habari - BBC Swahili
Ukosefu wa usafi wapelekea wananchi kuandamana wakitumia kinyesi ishara ya kukosa vyoo mjini Cape Town.
Kiongozi wa upinzani naye alitupiwa takataka na wananchi waliojawa ghadhabu wakitaka kujengewa vyoo vya kutosha
Habari - BBC Swahili