12 Ways To Ruin Sex

Nilikua wapi mambo yananipita????
Well, number 6 can be a turn on if you keep CERTAIN clothing effects, ex: the watch, the jewelries and... the high heels and stockings... lol
2b279_ORIG-4cdcb_b_w_couple_erotic_heels_sexy_stockings__thumb.jpg
Ok, now that I am in, nini kinaendelea katika thread hii?
 
Nilikua wapi mambo yananipita????
Well, number 6 can be a turn on if you keep CERTAIN clothing effects, ex: the watch, the jewelries and... the high heels and stockings... lol
View attachment 39799
Ok, now that I am in, nini kinaendelea katika thread hii?



Roulette bana.... naona umeona uweke na mfano kabisa....lol... Hapa kinachoendelea ni Sex, Sex and Sex....
 
Hakuna kisichochokoneleka bishanga,kawezekana pweza itakuwa infii? Kitaeleweka tu,weeh tulia
shauri lako,kuna watu watakushukia hapa,jf ina mapolisi siku hizi wanachungulia umeandika nini,mi nshaambiwa nimetengewa siti jehanam!
 
Watakaponikuta peponi mi ndo naelekeza watu pa kukaa,wataelewa ujanja kupata,lol

shauri lako,kuna watu watakushukia hapa,jf ina mapolisi siku hizi wanachungulia umeandika nini,mi nshaambiwa nimetengewa siti jehanam!
 
Watakaponikuta peponi mi ndo naelekeza watu pa kukaa,wataelewa ujanja kupata,lol

binadamu tuna mambo King'asti!
Actualy bila kuwa na mawazo tofauti na kuruhusu yatawale,jf itakufa.
Humu ndani watu wajifunze tolerance,unakuta mtu anafura povu linamtoka kisa eti mnapromoti uzinzi,strange,hakuna mtu ana promoti uzinzi,all we are doing ni kumsukuma chura kidogo ili aruke vizuri zaidi.
 
binadamu tuna mambo King'asti!
Actualy bila kuwa na mawazo tofauti na kuruhusu yatawale,jf itakufa.
Humu ndani watu wajifunze tolerance,unakuta mtu anafura povu linamtoka kisa eti mnapromoti uzinzi,strange,hakuna mtu ana promoti uzinzi,all we are doing ni kumsukuma chura kidogo ili aruke vizuri zaidi.
Sababu we suppose that kuna watu wanaruhusa ya kusoma hivi vitu na kuvitumia (lovers in general). Ila kama watatumia vibaya sasa hapo sisi hatumo...
 
binadamu tuna mambo King'asti!
Actualy bila kuwa na mawazo tofauti na kuruhusu yatawale,jf itakufa.
Humu ndani watu wajifunze tolerance,unakuta mtu anafura povu linamtoka kisa eti mnapromoti uzinzi,strange,hakuna mtu ana promoti uzinzi,all we are doing ni kumsukuma chura kidogo ili aruke vizuri zaidi.

kwa hii thead hata kwenye mafundisho ya ndoa yapo
 
Back
Top Bottom