Sio 101.3 ni 103.3 mkuuKumbe tunaoteseka tuko wengi aisee, nilishataka kubadilisha radio kwa kudhani ndio ina matatizo kumbe na wenzangu ndio hivyo! Kulikoni jamani 101.3!?
Yaani ni shiida! Kuna kitu wanaita Dstv Etra View kama sikosei unaongezea 45,000 lkn kwa usawa huu hiyo sio hela ndogo!uko sahihi sana. shida inaanzia hapo. kuna kipindi hadi niliwaza 'hivi niongeze decoder na dish jingine nini?' maana nilinunua tv ya pili niwe naangalia mwenyewe room huku nikiwaacha wao sebuleni na tamthlia zao lakini wapi. decoder ni hiyohiyo moja kinachowekwa sebuleni na we2we huko chumbani ndo hichohicho uangalie. sasa watoto wanataka katuni zao na vipindi vyao vya ajabuajabu. mama anataka tamthlia. wakati huohuo arsenal na liverpool zinacheza baba ninataka hapo au nataka kuangalia dunia inakwendaje kupitia sky news inakua shida kubwa sana. unaamua kuwaacha unatoka unakwenda bar kuangalia mpira huku home umelipia full ili uwezage kuangalia mpira. hapo umeongea suala linalonikwazaga sana yani. lakini sasa solution yake ni expensive sana. utakuaje na dstv mbili kwenye nyumba moja.
mzigo umerudi hewani wakuu.
ni kweli. wanakera mpaka basiUnarudi kwa ku beep tu, baada ya muda inarudi hiyo miziki

Hivi kuna mtu alishajaribu kuwasiliana nao (BBC) wakalitolea majibu? Nafkiri tuanzie hapoHivi tunaanza vipi kuhakikisha hii station inarudi. Mimi siwezi kabisa kusikiliza hizi radio za Bongo. Leo nimejaribu kusikiliza Clouds asubuhi, ni vile vile ilikuwa four years ago mara Bonge sijui nani michosho. Nikafungua moja wanaongea kiingereza nilitambua sauti ya Jimmy Kabwe nikaona wanajadili habari ya kujamba......basi nikazima radio. Bring back BBC english service
Tunateseka sana kwa kweli.Duh kumbe wadau wa BBC tupo wengi!! Mawazo yangu yote nmekosea frequency kumbe ishachukuliwa na classic FM!! dah yaani mara kumi redio zote zingezimwa ila sio BBC ntakosa mengi sana