General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Ila mnavumilia mengi
Nini kinapelekea kutanuka ilhali bolt ni hiyohiyo.. Tufanye zipo ndani ya ndoa
Hata mimi sielewi baby.....Nini kinapelekea kutanuka ilhali bolt ni hiyohiyo.. Tufanye zipo ndani ya ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Joint expansion hiyo mama..Nini kinapelekea kutanuka ilhali bolt ni hiyohiyo.. Tufanye zipo ndani ya ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapaswa kutanuka.. Lakini tuzingatie vyanzo kabla hatujakejeliHata mimi sielewi baby.....
Kwani baby ww hunadhani haipaswi kutanuka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann umefikiri hivyo?Inapaswa kutanuka.. Lakini tuzingatie vyanzo kabla hatujakejeli
Mwanamke aliezaa hatakiwi kufanyiwa hivo.. Labda anaefanya ukahaba na uchoropoaji mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hivi sababu kuna wanawake nliwahi kutana na case zao wamezaa na kupanuka wanapata shida kurudisha maumbile yao.. Mume anaanza kulalamika bila kuzingatia hali halisi na suluhisho
MmmmmmhNafikiri hivi sababu kuna wanawake nliwahi kutana na case zao wamezaa na kupanuka wanapata shida kurudisha maumbile yao.. Mume anaanza kulalamika bila kuzingatia hali halisi na suluhisho
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo ni gongoduh!!
Mmmmmmh
Ukiona mwanaume analalamika maumbile ya mwanamke ni makubwa jua yeye ni Kibamia...
Ukiona mwanamke analalamia Maumbile ya mwanaume ni kibamia jua yeye ana bwawaa....
Sent using Jamii Forums mobile app