Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
okay okay!.....
kwa hiyo mnaniambiaje sasa?
kwamba dkt slaa akagombee HANANG ili arudi bungeni au afanye operesheni-kibua ya nchi nzima NYUMBA-KWA-NYUMBA kwa maandalizi ya 2015?
ninavyojua mimi HANANG atashinda tu
Hii thread haina thanks kabisa vipi kiongosi?