10,000+

okay okay!.....
kwa hiyo mnaniambiaje sasa?
kwamba dkt slaa akagombee HANANG ili arudi bungeni au afanye operesheni-kibua ya nchi nzima NYUMBA-KWA-NYUMBA kwa maandalizi ya 2015?

ninavyojua mimi HANANG atashinda tu

Hii thread haina thanks kabisa vipi kiongosi?
 
Naona ni mdogo mdogo lakini safari inasonga mbele..long live ISC!!!

Ila hayo mananeo mtamu yakianza kuadimika kama maji ya DAWASA msipate shida..njooni babu zenu tutawapa ushauri.

Anyway...Kijana hongera kwa kazi nzuri...10000 hits si mchezo.

DC
ha ha ha!
saa meja SHUKRANI SANA!
sasa shida inakujaje kwamba upo mujini?
 
Hili nalo ni neno maana kuna ukweli ndani yake sisi tuna vipost 500 tu lakini kila ukilog out unaenda kukanda vidole na maji ya moto sasa wenye 10000+ duh but anyway hongera teamo kwa kuwa active member na kuninyanganya bibi wa wajukuu zangu

unakumbuka shart langu kwako?ukilitimiza nambie...
 
ha ha ha!
saa meja SHUKRANI SANA!
sasa shida inakujaje kwamba upo mujini?

Usiwe na shaka,

J2 nitakuwa ndani ya house..tutafutane mida ya supu!

Ila Rose usije naye...anakonyeza konyeza na sisi wababu tuko very vulnerable na mambo ya namna hiyo!
 
Naona ni mdogo mdogo lakini safari inasonga mbele..long live ISC!!!

Ila hayo mananeo mtamu yakianza kuadimika kama maji ya DAWASA msipate shida..njooni babu zenu tutawapa ushauri.

Anyway...Kijana hongera kwa kazi nzuri...10000 hits si mchezo.

DC

kwa niaba ya mume wangu MWENYE BUSARA KM SOLOMON,MWENYE NGUVU KM SAMSON ,HANDSAM KM YUSUFU NAPENDA KUSEMA ASANTE ...kwwa pongez DC na wengneo woooooooote
usengwile
karibun kwemye part nilioandaa kumpongeza ma hubby pale ...venue ntataja badaye ..maadui wasje enda weka magogo yao bure tushndwe kupita na tukutuku yetu....
 
Naona ni mdogo mdogo lakini safari inasonga mbele..long live ISC!!!

Ila hayo mananeo mtamu yakianza kuadimika kama maji ya DAWASA msipate shida..njooni babu zenu tutawapa ushauri.

Anyway...Kijana hongera kwa kazi nzuri...10000 hits si mchezo.

DC

DC muzeee umepotelea kona ya wapi
 
kwa niaba ya mume wangu MWENYE BUSARA KM SOLOMON,MWENYE NGUVU KM SAMSON ,HANDSAM KM YUSUFU NAPENDA KUSEMA ASANTE ...kwwa pongez DC na wengneo woooooooote
usengwile
karibun kwemye part nilioandaa kumpongeza ma hubby pale ...venue ntataja badaye ..maadui wasje enda weka magogo yao bure tushndwe kupita na tukutuku yetu....
ha ha ha ha!
unajua wifey wangu (zamani wa roya) unanifurahisha sana!
i will be laughing kwa kila post yako moja
 
Usiwe na shaka,

J2 nitakuwa ndani ya house..tutafutane mida ya supu!

Ila Rose usije naye...anakonyeza konyeza na sisi wababu tuko very vulnerable na mambo ya namna hiyo!

kwa niaba ya mume wangu MWENYE BUSARA KM SOLOMON,MWENYE NGUVU KM SAMSON ,HANDSAM KM YUSUFU NAPENDA KUSEMA ASANTE ...kwwa pongez DC na wengneo woooooooote
usengwile
karibun kwemye part nilioandaa kumpongeza ma hubby pale ...venue ntataja badaye ..maadui wasje enda weka magogo yao bure tushndwe kupita na tukutuku yetu....

Ahsante sana Rose...ila sasa nilishakupiga ban..itakuwaje?
 
Nielimisheni namna ya kupost picha maana nipo kijijini ni waonyeshe maisha tunayo ishi na tuna enjoy kuliko nyie Wa town
 
DC muzeee umepotelea kona ya wapi

Weee acha tu ndugu yangu..Muulize Dogo Teamo anajua walau kidogo masahibu yangu..ila sasa ngoma inakaa sawa..J2 lazima supu ipigwe ingawa sijachagua kiwanja.

Una ushauri wowote hapo?
 
Kijana sasa unanitisha...kumbe ni mwendo wa ISC na mduara?
hahahaha!saa meja labda kwa kujikumbusha tu:
Zijue sheria ''mama' za infidelity...


1-INFIDELATORS wanatakiwa kugharamia kikao cha kwanza wanapokutana na infideletees wapya kwa asilimia 100

2-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanatakiwa kufanya wanaloliweza kuhakikisha hakuna leakage ya taarifa yoyote ya INFIDELITY juu yako kwenye familia zao(hasa hasa wake/waume zao waliowaacha nyumbani)

3-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI

4-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanapaswa kuwa na umri wa watu wazima(18+.....!hii ilikuwa sababu pekee ya kumtoa georgieporjie kwenye uanachama)

5-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima wawe wanapandisha mvinyo kwa wingi (unywaji wa valuu una ''added advantage'')

6-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).

7-KWAKUZINGATIA SHERIA NAMBA 7 TAJWA HAPO JUU-infidelators watakaoingia kwenye NEC ni wale waliooa/olewa tu!wengine hao wanakuwa members tu kwasababu tunawajali sana zaidi ya hapo HAWANA KURA YA VETO

8-INFIDELATORS/INFIDELETEES watahakikisha wanapigana kufa na kupona kuzilinda na kuzitetea ndoa za infidelators/infideletees wenzao!(ndoa na iheshimiwe na watu wote).naomba hii sheria muiangalie kwa umakini mkuu!hakikisha kufa kupona unafanya unaloweza kuhakikisha ndoa ya mwanachama haitetereki.

9-INFIDELITY itafanyika NYUMBA ZA KULALA WAGENI TU!....tena itafanyika kilometa kadhaa kutoka maeneo yako ya nyumbani(otherwise unatakiwa uproove kwamba mkeo/mumeo kasafiri umbali usio pungua kilometa mia saba kutoka nyumbani kwenu).

10-INFIDELITY KAMWE HAIFANYIKI USIKU KUCHA-fanya unalofanya lakini make sure umerudi nyumbani kwa waif/husband.ukilifanya hili utakuwa umeheshimu na kuitekeleza sheria namba 7 na namba 9 tajwa hapo juu

11-INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!

12-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanalazimika(kwa hali na mali) kuwa na simu zaidi ya moja...!hasa hasa wanapaswa kuwa na simu moja HOT-LINE itakayokuwa fixed ofisini au eneo lako la kazi.Simu hiyo itatumika kwa ajili ya taratibu zote za infidelity(hapa ni mambo ya promises,appointments na kujuliana hali).kwa kufanya hivyo sheria tajwa namba 8 itakuwa inatekelezeka.

13-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanapaswa kulindana,kutunziana heshima,kutunziana siri.ni marufuku kuzianika taarifa za infidelator/infideletee kwenye chombo chochote kile cha habari au mitandao.​
 
Weee acha tu ndugu yangu..Muulize Dogo Teamo anajua walau kidogo masahibu yangu..ila sasa ngoma inakaa sawa..J2 lazima supu ipigwe ingawa sijachagua kiwanja.

Una ushauri wowote hapo?

Inabidi ukapate AL-BATAR baada ya kupata supu ya kitimoto
 
Ahsante sana Rose...ila sasa nilishakupiga ban..itakuwaje?

tushakuwa mwili mmoja
hawez kuja akaniacha..
tutakuja pamoja othwse no kikao...
BABU kwan bibi akukonyez jaman..bas ntavaaa miwan uskonde babu dc!!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom