Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
- Thread starter
- #21
ha ha ha ha ha!ee mola mlinde ,mwongoze na mkinge teamo wangu na mabaya yote
nakushukuru mungu kwa kumpa mume wangu teamo busara na hekima za KUNICHAGUA MIMI KUWA EVA WAKE...najua wapo weng lakin roho wa bwana akamshuhudia juu yangu
nahaidi yafuatayo kwako niliyetoka kwa ubavu wako
1.i wl b ya quen kwa vtendo na akshen
2.kukupenda daima
3.kuzika wafu wwoooote na ufu wao(bt dear naomba ruhusa kdg nirud kw arr nikamalizie kale kaproject ili nipate kukupeleka mariedo shpng kesho...km ukiridhia tu....)
4.m ol yrs ukitaka nimeze ukitaka nitafune...
5.i surrender ma body ma sprt na phsique to yrs...
ASANTE MWENYEZ KWA KUNIPA MWANAUME MWENYE BUSARA KM SOLOMON ,NGUVU KM SAMSON,HANDSAM KM YUSUFU...thax god!!
ngoja nikashushie na valuu ya baridi