1 + 1 = 1 Hesabu ngumu katika mahusiano ya mapenzi

1 + 1 = 1 Hesabu ngumu katika mahusiano ya mapenzi

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,193
++

Tunajua kuwa Moja kujumlisha Moja jawabu ni mbili..Ndivyo tulivyofundishwa na kweli jibu liko hivyo.
1+1=2
++
Lakini linapokuja ktk Mahusiano ya mapenzi na ndoa Baadhi ya maelekezo ya dini husema kuwa Mwanaume na Mwanamke wataungana na kuwa Mwili mmoja.
Kwa lugha ya hesabu
1+1=1
++
Kwamba,,suala la wapenanao wawili wa jinsia tofauti kuishi pamoja katika kiapo cha kudumu hadi kifo kiwatenganishe Bila mahusiano ya nje basi ni jambo ambalo kila uchao linaonekana kuwa gumu.
Yaani heri hesabu ya 1+1=2 kuliko 1+1=1
++
Wanaume hawaishi kukodoa macho nje ya ndoa zao hali kadhalika Wanawake..Ahadi zinavunjwa,,viapo vinapuuzwa,,ngono zinaendekezwa.
Ndivyo hata watoto wadogo,wanafunzi,maofisa,na kila mwenye mpenzi anajitahidi kudumisha hesabu ya kawaida moja ongeza moja sio mbili tu bali ikiwezekana iwe kumi na moja.
++
Bado natazama jinsi Falsafa ya wawili kuwa mwili mmoja inavyozidi kupotea.
Alama ya "F" score sio madarasani tu bali pia katika ndoa na mapenzi yetu
++
 
Mkuu Himidini nimeipenda hesabu yako, kwa watu wa hesabu/hisabati 1+1=1, hizo wanaita ni hesabu za logic na pia watu electronics pia wanazitumia hivyo hivyo. Aidha pia unapotazama kwa mlengo wa kiimani linpoongelewa swala la ndoa hesabu yako ambayo kwangu naaita logic hakika ni hesabu sahihi na wala haina makosa wala mapungufu, lakini kinachotolea sasa kwenye ndoa zetu sasa na kuletezea hata hiyo uliyoita F score hakika ni masikitiko makubwa, na hakika jawabu lake ni tata, kama lingekuwa swala/jambo hakika ni swala mtambuka.

Ni kweli F score kwenye ndoa inaendelea kushika kasi sana, na kwa bahati mbaya hatutaki kujadili maswala ya msingi kama hayo yenye kujenga na badala yake mambo yasiyokuwa na tija ndiyo tunayapa nafasi kwa kiwango cha kutisha, sio kwamba nabeza ra hasha, acha nitoe mfano, kuna mtu anawauliza wanawake kama ipi nzuri nene ama ndefu, ama ni bao ngapi std za kupiga wakati wakugegedana, jamani kweli na hayo nayo watu tunajadili kwa kina so what, na utakutana na mimi huko nashuka/nafafanua juu ya maada husika, ya msingi hata kusoma huenda simalizi thread husika naishia kwenye heading tu, shame to me.

Na mara nyingine tunaweza kusoma na kuishia kukejeli tu, nimeshudia hivi majuzi thread moja iliyokuwa inauliza sababu za wasichana/wanawake kujihusisha na usagaji, wengi walichangia positively well, lakini wapo baadhi walichangia very negative na wakaenda mbali hadi kum attack personally mtoa maada, najiuliza why jamani tufanye hivyo mwenzetu kaona kwa mtazamo wake, yes tuko right kuwa against na mtazamo wake, lakini kumshambulia yeye personally no it is wrong, ndipo tulipofikia sasa, hivyo utaona hata hizo F tunapozitengeza.

Ni aibu hata tuliomo katika taasisi hii ya 1+1=1 hakika wengi wetu hatutaki kuishi vema, sijui tatizo liko wapi.
 
Mkuu Himidini nimeipenda hesabu yako, kwa watu wa hesabu/hisabati 1+1=1, hizo wanaita ni hesabu za logic na pia watu electronics pia wanazitumia hivyo hivyo. Aidha pia unapotazama kwa mlengo wa kiimani linpoongelewa swala la ndoa hesabu yako ambayo kwangu naaita logic hakika ni hesabu sahihi na wala haina makosa wala mapungufu, lakini kinachotolea sasa kwenye ndoa zetu sasa na kuletezea hata hiyo uliyoita F score hakika ni masikitiko makubwa, na hakika jawabu lake ni tata, kama lingekuwa swala/jambo hakika ni swala mtambuka.

Ni kweli F score kwenye ndoa inaendelea kushika kasi sana, na kwa bahati mbaya hatutaki kujadili maswala ya msingi kama hayo yenye kujenga na badala yake mambo yasiyokuwa na tija ndiyo tunayapa nafasi kwa kiwango cha kutisha, sio kwamba nabeza ra hasha, acha nitoe mfano, kuna mtu anawauliza wanawake kama ipi nzuri nene ama ndefu, ama ni bao ngapi std za kupiga wakati wakugegedana, jamani kweli na hayo nayo watu tunajadili kwa kina so what, na utakutana na mimi huko nashuka/nafafanua juu ya maada husika, ya msingi hata kusoma huenda simalizi thread husika naishia kwenye heading tu, shame to me.

Na mara nyingine tunaweza kusoma na kuishia kukejeli tu, nimeshudia hivi majuzi thread moja iliyokuwa inauliza sababu za wasichana/wanawake kujihusisha na usagaji, wengi walichangia positively well, lakini wapo baadhi walichangia very negative na wakaenda mbali hadi kum attack personally mtoa maada, najiuliza why jamani tufanye hivyo mwenzetu kaona kwa mtazamo wake, yes tuko right kuwa against na mtazamo wake, lakini kumshambulia yeye personally no it is wrong, ndipo tulipofikia sasa, hivyo utaona hata hizo F tunapozitengeza.

Ni aibu hata tuliomo katika taasisi hii ya 1+1=1 hakika wengi wetu hatutaki kuishi vema, sijui tatizo liko wapi.

++
Lyagwa
Huo ndio mkondo ambao Jamiiforum inafuata,,sijui utatufikisha wapi Lakini mwanzo huu sio mzuri,,nimewahi kusoma comments za wakongwe humu kabla sijajiunga mf.
Father of All (nahisi alikatishwa tamaa na thread kama hizo,,maana ameadimika)
Ktk exclusive interview mojawapo ya lara 1 na Prisoner suala hili limelalamikiwa (sina link)
Nini kifanyike,,
Mkono ukichafuka haukatwi-huoshwa.
Ni jukumu letu kama Jf members kukemea ili tupunguze utoto Tuonyeshe ukomavu wa kufikiri.
Members wangezingatia Kaulimbiu ya Invisible ya Ficha upumbavu wako Usifiche Hekima yako nadhani leo hii tusingetumia muda huu kujadili hili.
Pole Lyagwa
++
 
Last edited by a moderator:
++
Lyagwa
Huo ndio mkondo ambao Jamiiforum inafuata,,sijui utatufikisha wapi Lakini mwanzo huu sio mzuri,,nimewahi kusoma comments za wakongwe humu kabla sijajiunga mf.
Father of All (nahisi alikatishwa tamaa na thread kama hizo,,maana ameadimika)
Ktk exclusive interview mojawapo ya lara 1 na Prisoner suala hili limelalamikiwa (sina link)
Nini kifanyike,,
Mkono ukichafuka haukatwi-huoshwa.
Ni jukumu letu kama Jf members kukemea ili tupunguze utoto Tuonyeshe ukomavu wa kufikiri.
Members wangezingatia Kaulimbiu ya Invisible ya Ficha upumbavu wako Usifiche Hekima yako nadhani leo hii tusingetumia muda huu kujadili hili.
Pole Lyagwa
++

Ahsante, ila tujipe pole wote kama jamii, ukiona post ambayo wengine waiona ya ovyo na wengine wamekuwa wakihoji hadi umri wa mhusika, lakini cha ajabu utakuta inapata wateja wengi wenye kutoa comments za ajabu ajabu kama ilivyo post yenyewe hakika hapo ndipo jamii zetu zilipofikia, maana mojarity wako hivyo, sasa hawa minority wanakuwa kama wanaelea tu.

Kuna watu wengi sana huwa hawapendi hivi tunavyoita vituko nk, lakini hakika hawawezi kusimama na kusema, na badala yake hukaa kimya na kuona mambo yanavyoharibika, wengine huzani kuwa wao wako safe, so hawahusiki na huo mchafuko lakini kumbe sio kweli maadamu wako kwenye jamii hivi vituko + majanga yanakumba, wakiamuka wakasema sauti itakuwa kubwa tutainusuru jamii na taifa kwa ujumla wake. Tutimize wajibu zetu tulizonazo.
 
Mkuu Himidini nimeipenda hesabu yako, kwa watu wa hesabu/hisabati 1+1=1, hizo wanaita ni hesabu za logic na pia watu electronics pia wanazitumia hivyo hivyo. Aidha pia unapotazama kwa mlengo wa kiimani linpoongelewa swala la ndoa hesabu yako ambayo kwangu naaita logic hakika ni hesabu sahihi na wala haina makosa wala mapungufu, lakini kinachotolea sasa kwenye ndoa zetu sasa na kuletezea hata hiyo uliyoita F score hakika ni masikitiko makubwa, na hakika jawabu lake ni tata, kama lingekuwa swala/jambo hakika ni swala mtambuka.

Ni kweli F score kwenye ndoa inaendelea kushika kasi sana, na kwa bahati mbaya hatutaki kujadili maswala ya msingi kama hayo yenye kujenga na badala yake mambo yasiyokuwa na tija ndiyo tunayapa nafasi kwa kiwango cha kutisha, sio kwamba nabeza ra hasha, acha nitoe mfano, kuna mtu anawauliza wanawake kama ipi nzuri nene ama ndefu, ama ni bao ngapi std za kupiga wakati wakugegedana, jamani kweli na hayo nayo watu tunajadili kwa kina so what, na utakutana na mimi huko nashuka/nafafanua juu ya maada husika, ya msingi hata kusoma huenda simalizi thread husika naishia kwenye heading tu, shame to me.

Na mara nyingine tunaweza kusoma na kuishia kukejeli tu, nimeshudia hivi majuzi thread moja iliyokuwa inauliza sababu za wasichana/wanawake kujihusisha na usagaji, wengi walichangia positively well, lakini wapo baadhi walichangia very negative na wakaenda mbali hadi kum attack personally mtoa maada, najiuliza why jamani tufanye hivyo mwenzetu kaona kwa mtazamo wake, yes tuko right kuwa against na mtazamo wake, lakini kumshambulia yeye personally no it is wrong, ndipo tulipofikia sasa, hivyo utaona hata hizo F tunapozitengeza.

Ni aibu hata tuliomo katika taasisi hii ya 1+1=1 hakika wengi wetu hatutaki kuishi vema, sijui tatizo liko wapi.
Ni kweli bro kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake hata kama wengine hawataafiki, ni vema tukajifunza kuvumiliana. Ni bora kutoa hoja either +ve or -ve pasipo kumshambulia mtoa mada.
Himidini kweli hii hesabu ya 1+1=1 ni ngumu sijui tunashindwa wapi tu. Kama ulivyouliza Lyagwa hapo kwenye red. Hebu tujaribu kulijadili hili pia hasa kwa wale wanaopata shida ya kupata 1.

Ngoja nijaribu kidogo kuongelea hapo kwenye kushindwa. Mara nyingi kipindi cha kutafuta ndicho hasa makosa yanapotendeka. Nimeshuhudia familia kadhaa na zingine za watu wa karibu yangu utakuta mtu anatafuta mtu wa sifa flani wakati alishaingia kwenye ndoa yaani angependa mkewe/mumewe awe namna flani. Hali ambayo inapelekea watu hao wasiwe 1 bali wanakua 2 ie 1+1=2. Kitu ambacho kimesababisha wengi kwenda tena nje kutafuta wakufanana nae au mwenye sifa apendazo. Nijuavyo mimi ili kufikia hiyo result ya 1+1=1 kuna process kadhaa wahusika wanapaswa kuzipitia. Kwani huwezi kuipata hiyo result kwa kuangalia vitu vichache kama mali, urembo na elimu n.k, walio wengggi waliyapata yote hayo lkn bado hawakuweza kufaulu na mwisho wakabaki kwenye ile imani ya ndoa msalaba au mahusiano yote ni majanga n.k.

Sasa inatupasa kumshirikisha Mungu hasa kipindi cha kutafuta wakuoa/kuolewa nae bila kuacha kumueleza ni mtu wa namna gani unamuhitaji sababu wengi walioa wanawake wacha Mungu wazuri mno lkn bado walishindwa kuwa mwlili mmoja, Kumbe hata kigezo cha uchaji pekee hakitoshi. Kipindi hicho ni wakati mzuri wa kumuomba Baba akupe mtu utakaempenda sana na yeye akupende sana. Wengi waliomba wajaliwe kupata wenza wataowapenda bila kujali kiwango cha upendo namaanisha love ni two way traffic. Ninaweza kua nimekosea kwenye majibu yangu , kama nilivyosema najaribu kutafuta sababu za kupata F.

Ktk hesabu hii tusisahau kua kuna waliofaulu si unajua hata matokeo ya IV ya mwanzo kuna waliofaulu tena kwa alama nzuri tu. back to topic suluhisho la kupunguza f inapaswa sisi tuliokwisha ingia tukubali kujadili tofauti zetu na tuanze upya ie tuamue kupendana tena kwa dhati huku tukiomba msaada wa Mungu kwani huwa tunasahau kuwa ndoa ni taasisi ambayo mwanzilishi wake ni Mungu kumbuka adam hakumtafuta mke bali Mungu ndiye aliyempa adam mke. Na ndio maana adam alipoamka akasema hakika huyu ni mfupa ktk mfupa wangu ataitwa mwanamke akafurahi. Lyagwa hakuna aibu hata kama kuna walioshindwa lkn mimi na yule tukiamua kuudhihirishia ulimwengu kua inawezekana 1+1=1 na sio 2 jibu lake I believe kuna watakaokuja kujifunza toka kwetu nasi hatutaacha kuwatia moyo na kuwaambia kama sisi tumeweza na wao wataweza. Tunapoanza safari yoyote lazima pawe na makubaliano/mapatano. Kama waendao safari hawakupatana tangu mwanzo huko mbele lazima patokee mpasuko tu, na patakua na if statements nyingi.

Ngoja nifikirie zingine lkn pia nasubiri wenine nao watoe mawazo yao .
 
Mkuu Himidini suala sio ugumu suala ni nani anauleta ugumu au kuliwazia akilini mwako kuwa ni gumu 1+1=1. Ni uamuzi wako mwenyewe kuwa na formula hiyo au ile ya 1+1=2 hilo ni uamuzi wako pia. Ndoa ni dhana pana sana na wawili waliomo kwenye ndoa ndio watakaoamua kufuata dhana ya 1+1=1 au 1+1=2 bila kushikiwa panga au kulazimishwa kuamua. Ni jambo zuri kama wanandoa wakawa kwenye ndoa na wakajuawako pale kwa nini na kwa nini walikula kile kiapo na kiapo kwao kina maana gani na je uliyomuoa ndie au uko pale kwa kuwa unampenda au unamchuna au ni basi tuu kutimiza wajibu wako.
Hakuna jambo zuri kama pande mbli zote zitajua na kuheshimu dhana ya ndoa na maana halisi ya ndoa na kumuwazia mwenzako mazuri wakati wote na kwa kila ufanyalo
Jifikirie na jiweke kwenye mazingira ya mwenzako kuwa namfanyia hivi japo hakuoni ila na wewe jifikirie ungemkuta katika hali kama yako ingekuwaje Himidini najua ni ngumu sana kwa kufuata huo utaratibu wa moja jumlisha moja ni moja kwa wengi umewashinda na kisingizio ni shetani alinipitia au alinishawishi au ulevi ndo ulinifanya nikaanguka au visingizio chungu tele ila moja la muhimu ni kuwa ndoa ni taasisi inayopaswa kuheshimiwa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Himidini suala sio ugumu suala ni nani anauleta ugumu au kuliwazia akilini mwako kuwa ni gumu 1+1=1. Ni uamuzi wako mwenyewe kuwa na formula hiyo au ile ya 1+1=2 hilo ni uamuzi wako pia. Ndoa ni dhana pana sana na wawili waliomo kwenye ndoa ndio watakaoamua kufuata dhana ya 1+1=1 au 1+1=2 bila kushikiwa panga au kulazimishwa kuamua. Ni jambo zuri kama wanandoa wakawa kwenye ndoa na wakajuawako pale kwa nini na kwa nini walikula kile kiapo na kiapo kwao kina maana gani na je uliyomuoa ndie au uko pale kwa kuwa unampenda au unamchuna au ni basi tuu kutimiza wajibu wako.
Hakuna jambo zuri kama pande mbli zote zitajua na kuheshimu dhana ya ndoa na maana halisi ya ndoa na kumuwazia mwenzako mazuri wakati wote na kwa kila ufanyalo
Jifikirie na jiweke kwenye mazingira ya mwenzako kuwa namfanyia hivi japo hakuoni ila na wewe jifikirie ungemkuta katika hali kama yako ingekuwaje Himidini najua ni ngumu sana kwa kufuata huo utaratibu wa moja jumlisha moja ni moja kwa wengi umewashinda na kisingizio ni shetani alinipitia au alinishawishi au ulevi ndo ulinifanya nikaanguka au visingizio chungu tele ila moja la muhimu ni kuwa ndoa ni taasisi inayopaswa kuheshimiwa

++
Mr Rocky
Nimekuelewa vizuri na nimependezwa na uelewa wako.
Jambo moja lililowahi kupendekezwa ni hesabu rahisi yaani
Nusu + Nusu = Moja
Kwamba kila mwanandoa ajishushe ili wawe kitu kimoja..Matatizo yanayotokea ni matokeo ya wanandoa kuishi kana kwamba wanashindana au kukomoana.
++
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli bro kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake hata kama wengine hawataafiki, ni vema tukajifunza kuvumiliana. Ni bora kutoa hoja either +ve or -ve pasipo kumshambulia mtoa mada.
Himidini kweli hii hesabu ya 1+1=1 ni ngumu sijui tunashindwa wapi tu. Kama ulivyouliza Lyagwa hapo kwenye red. Hebu tujaribu kulijadili hili pia hasa kwa wale wanaopata shida ya kupata 1.

Ngoja nijaribu kidogo kuongelea hapo kwenye kushindwa. Mara nyingi kipindi cha kutafuta ndicho hasa makosa yanapotendeka. Nimeshuhudia familia kadhaa na zingine za watu wa karibu yangu utakuta mtu anatafuta mtu wa sifa flani wakati alishaingia kwenye ndoa yaani angependa mkewe/mumewe awe namna flani. Hali ambayo inapelekea watu hao wasiwe 1 bali wanakua 2 ie 1+1=2. Kitu ambacho kimesababisha wengi kwenda tena nje kutafuta wakufanana nae au mwenye sifa apendazo. Nijuavyo mimi ili kufikia hiyo result ya 1+1=1 kuna process kadhaa wahusika wanapaswa kuzipitia. Kwani huwezi kuipata hiyo result kwa kuangalia vitu vichache kama mali, urembo na elimu n.k, walio wengggi waliyapata yote hayo lkn bado hawakuweza kufaulu na mwisho wakabaki kwenye ile imani ya ndoa msalaba au mahusiano yote ni majanga n.k.

Sasa inatupasa kumshirikisha Mungu hasa kipindi cha kutafuta wakuoa/kuolewa nae bila kuacha kumueleza ni mtu wa namna gani unamuhitaji sababu wengi walioa wanawake wacha Mungu wazuri mno lkn bado walishindwa kuwa mwlili mmoja, Kumbe hata kigezo cha uchaji pekee hakitoshi. Kipindi hicho ni wakati mzuri wa kumuomba Baba akupe mtu utakaempenda sana na yeye akupende sana. Wengi waliomba wajaliwe kupata wenza wataowapenda bila kujali kiwango cha upendo namaanisha love ni two way traffic. Ninaweza kua nimekosea kwenye majibu yangu , kama nilivyosema najaribu kutafuta sababu za kupata F.

Ktk hesabu hii tusisahau kua kuna waliofaulu si unajua hata matokeo ya IV ya mwanzo kuna waliofaulu tena kwa alama nzuri tu. back to topic suluhisho la kupunguza f inapaswa sisi tuliokwisha ingia tukubali kujadili tofauti zetu na tuanze upya ie tuamue kupendana tena kwa dhati huku tukiomba msaada wa Mungu kwani huwa tunasahau kuwa ndoa ni taasisi ambayo mwanzilishi wake ni Mungu kumbuka adam hakumtafuta mke bali Mungu ndiye aliyempa adam mke. Na ndio maana adam alipoamka akasema hakika huyu ni mfupa ktk mfupa wangu ataitwa mwanamke akafurahi. Lyagwa hakuna aibu hata kama kuna walioshindwa lkn mimi na yule tukiamua kuudhihirishia ulimwengu kua inawezekana 1+1=1 na sio 2 jibu lake I believe kuna watakaokuja kujifunza toka kwetu nasi hatutaacha kuwatia moyo na kuwaambia kama sisi tumeweza na wao wataweza. Tunapoanza safari yoyote lazima pawe na makubaliano/mapatano. Kama waendao safari hawakupatana tangu mwanzo huko mbele lazima patokee mpasuko tu, na patakua na if statements nyingi.

Ngoja nifikirie zingine lkn pia nasubiri wenine nao watoe mawazo yao .

++
Ablessed
Jambo moja nimependa ktk maelezo yako ni kuwa Mungu anapaswa ashirikishwe.
Nadhani wengi wetu wanamshirikisha lakini wakiwa na machaguo yao pia hawajitoi kikamilifu.
Au wanapoingia ktk ndoa Mungu anasahaulika,,hivyo matatizo yao pia yanapozidi wanamkumbuka Mungu wamechelewa.
INAUMIZA MOYO
++
 
Last edited by a moderator:
1+1+1=?
Namaanisha ndoa ya mitala (excluding small hauzez)
Haya mambo ukijitia nayo wazimu utazimuka kweli.
 
Ablessed
Jambo moja nimependa ktk maelezo yako ni kuwa Mungu anapaswa ashirikishwe.
Nadhani wengi wetu wanamshirikisha lakini wakiwa na machaguo yao pia hawajitoi kikamilifu.
Au wanapoingia ktk ndoa Mungu anasahaulika,,hivyo matatizo yao pia yanapozidi wanamkumbuka Mungu wamechelewa.
INAUMIZA MOYO
++
Kweli wengi huwa tunahisi tunamshirikisha kumbe tunachanganya badala yake huwa tunaennda kumpa taarifa kua baba this is the girl/man naomba wewe ubariki tu . Hata kama tumekua alarmed hatupendi kusikia hiyo alarm ndani kabisa ya mioyo yetu na tunafanya kosa la kwenda kuwauliza wengine ili tujustify maamuzi yetu au kukwepa sauti ya ndani ya mioyo yetu. For my experience ni kua Mungu akusaidie tu kupata umpendae maana hakuna formula sometimes ni game of chance
 
Mkuu Himidini nimeipenda hesabu yako, kwa watu wa hesabu/hisabati 1+1=1, hizo wanaita ni hesabu za logic na pia watu electronics pia wanazitumia hivyo hivyo. Aidha pia unapotazama kwa mlengo wa kiimani linpoongelewa swala la ndoa hesabu yako ambayo kwangu naaita logic hakika ni hesabu sahihi na wala haina makosa wala mapungufu, lakini kinachotolea sasa kwenye ndoa zetu sasa na kuletezea hata hiyo uliyoita F score hakika ni masikitiko makubwa, na hakika jawabu lake ni tata, kama lingekuwa swala/jambo hakika ni swala mtambuka.

Ni kweli F score kwenye ndoa inaendelea kushika kasi sana, na kwa bahati mbaya hatutaki kujadili maswala ya msingi kama hayo yenye kujenga na badala yake mambo yasiyokuwa na tija ndiyo tunayapa nafasi kwa kiwango cha kutisha, sio kwamba nabeza ra hasha, acha nitoe mfano, kuna mtu anawauliza wanawake kama ipi nzuri nene ama ndefu, ama ni bao ngapi std za kupiga wakati wakugegedana, jamani kweli na hayo nayo watu tunajadili kwa kina so what, na utakutana na mimi huko nashuka/nafafanua juu ya maada husika, ya msingi hata kusoma huenda simalizi thread husika naishia kwenye heading tu, shame to me.

Na mara nyingine tunaweza kusoma na kuishia kukejeli tu, nimeshudia hivi majuzi thread moja iliyokuwa inauliza sababu za wasichana/wanawake kujihusisha na usagaji, wengi walichangia positively well, lakini wapo baadhi walichangia very negative na wakaenda mbali hadi kum attack personally mtoa maada, najiuliza why jamani tufanye hivyo mwenzetu kaona kwa mtazamo wake, yes tuko right kuwa against na mtazamo wake, lakini kumshambulia yeye personally no it is wrong, ndipo tulipofikia sasa, hivyo utaona hata hizo F tunapozitengeza.

Ni aibu hata tuliomo katika taasisi hii ya 1+1=1 hakika wengi wetu hatutaki kuishi vema, sijui tatizo liko wapi.
ni kawaida sana kwa watanzania kumuattack mtu badala ya kuzungumzia mada..may be kuna connection ndogo sana kati ya mada iliyoletwa na mtoa mada..all in all ndivyo tulivyo watanzania...!!!!
 
hiyo hesabu ya 1+1=1 katika ndoa ilikuwa ya zamani sana enzi za babu zetu,lakini kizazi cha sasa kinatamani ata isiwepo. kila mtu na namna yake yakuishi si mume wala mke anyethamini uwepo wa mwenzie ktk maisha yake. ubinafsi mwingi na kila mmoja anaangalia atavyofaidika yeye binafsi na si wote kam familia. mmoja akizubaa anazungukwa na kufanywa -----,ivyo wote walioko kwenye ndoa jaribuni kuwa makini na wenzi wenu, husije ukadhani kila kitu ni poa kumbe mwenzio anakuzuguka.lakini katika yote tumtangulize Mwenyezi Mungu na tujitaidi kuwa na kiasi kwa kila jambo.
 
++

Tunajua kuwa Moja kujumlisha Moja jawabu ni mbili..Ndivyo tulivyofundishwa na kweli jibu liko hivyo.
1+1=2
++
Lakini linapokuja ktk Mahusiano ya mapenzi na ndoa Baadhi ya maelekezo ya dini husema kuwa Mwanaume na Mwanamke wataungana na kuwa Mwili mmoja.
Kwa lugha ya hesabu
1+1=1
++
Kwamba,,suala la wapenanao wawili wa jinsia tofauti kuishi pamoja katika kiapo cha kudumu hadi kifo kiwatenganishe Bila mahusiano ya nje basi ni jambo ambalo kila uchao linaonekana kuwa gumu.
Yaani heri hesabu ya 1+1=2 kuliko 1+1=1
++
Wanaume hawaishi kukodoa macho nje ya ndoa zao hali kadhalika Wanawake..Ahadi zinavunjwa,,viapo vinapuuzwa,,ngono zinaendekezwa.
Ndivyo hata watoto wadogo,wanafunzi,maofisa,na kila mwenye mpenzi anajitahidi kudumisha hesabu ya kawaida moja ongeza moja sio mbili tu bali ikiwezekana iwe kumi na moja.
++
Bado natazama jinsi Falsafa ya wawili kuwa mwili mmoja inavyozidi kupotea.
Alama ya "F" score sio madarasani tu bali pia katika ndoa na mapenzi yetu
++

nikweli kabisa uyasemayo Himidini... Sikuhizi ndoa ni majanga matupu
tumuombe Mungu atusaidie tuepukane na minyororo ya tupo wangapi!!!

Binadamu wa sikuhizi rahisi sana kushawishika si kwa vitendo wala maneno... Hesabu ya 1+1=1... Hii itakuwa ni yakusadikika tu.
 
hizo nipropaganda za imani, yatupasa kuishi maisha yenye uhalisia ndiyo hapotutafanikiwa katika maisha yetu. tuepuke kabisa vitu vya propaganda katika ndoa zetu bali tuishi katika kweli .moja jumlisha moja nimbili huo ndiyo ukweli wake hata mababu zetu walipokuwa wanoa waliambiwa hivyo na waliishi katika kweli na ndoa zao zilifanikiwa na kudumu. walipokuja wazungu na imani zao wakatudanganya kuwa moja jumlisha moja ni moja. huo ni usanihi ndiyo maana ndoa hazidumu
 
hizo nipropaganda za imani, yatupasa kuishi maisha yenye uhalisia ndiyo hapotutafanikiwa katika maisha yetu. tuepuke kabisa vitu vya propaganda katika ndoa zetu bali tuishi katika kweli .moja jumlisha moja nimbili huo ndiyo ukweli wake hata mababu zetu walipokuwa wanoa waliambiwa hivyo na waliishi katika kweli na ndoa zao zilifanikiwa na kudumu. walipokuja wazungu na imani zao wakatudanganya kuwa moja jumlisha moja ni moja. huo ni usanihi ndiyo maana ndoa hazidumu

++
Loo!! Tutapata wapi ujasiri wa kukubali usaliti?
++
 
++
Lyagwa
Huo ndio mkondo ambao Jamiiforum inafuata,,sijui utatufikisha wapi Lakini mwanzo huu sio mzuri,,nimewahi kusoma comments za wakongwe humu kabla sijajiunga mf.
Father of All (nahisi alikatishwa tamaa na thread kama hizo,,maana ameadimika)
Ktk exclusive interview mojawapo ya lara 1 na Prisoner suala hili limelalamikiwa (sina link)
Nini kifanyike,,
Mkono ukichafuka haukatwi-huoshwa.
Ni jukumu letu kama Jf members kukemea ili tupunguze utoto Tuonyeshe ukomavu wa kufikiri.
Members wangezingatia Kaulimbiu ya Invisible ya Ficha upumbavu wako Usifiche Hekima yako nadhani leo hii tusingetumia muda huu kujadili hili.
Pole Lyagwa
++
Himidini you are dead right. Mie sijaadimika bali nilisusa baada ya kuona Jamii Forums inataka kunishika mateka na kudhani sina shughuli ya maana ya kufanya wala namna ya kuweza kutoa mchango wangu kwa jamii. Hapa ninapoandika nimepita hapa baada ya miezi zaidi ya mitatu. Sijui nitafungua tena lini kutokana na kukosa interest tena na jukwaa hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom