01Apr inaboooaaaaaarrghhh!!!

dasenior

Senior Member
Jul 24, 2012
138
57
Sijui ni nani aliyeanzisha hii siku ya kipumbavu ya wapumbavu?,Kila kitu unaweza kuona ni upumbavu tu,uongo tu.Hata ukiletewa taarifa za mkeo anakucheat jua ni uongo tu,ni upumbavu tu.Ni siku ya kuwa makini ikiwezekana zima simu halafu jifungie ndani(Ushauri wa bure) ili usimkie mtu wala kumsikiliza mtu maana kampa ni mwepesi wa hasira leo 01April itakufanya uweke kumbukumbu la Historia ya maisha...,Ninawatakia Apr fools njema na karibuni home kuna pilau.
 
Back
Top Bottom