Zuchu ameweka wazi kuwa katika kipindi cha ujauzito wake alikuwa hampendi mume wake Diamond Platnumz kiasi kwamba hata akiwa amelala anatamani hata ampige kibao.
Kupitia ukurasa wake wa Snapchat amepost video hii na kuandika "I hated him nilikua simpendi hapo kama nimtie kofi"
Soma pia: Zuchu na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa kike
Vipi umeshawahi kupitia hali hii? Kuchukiwa na mjamzito na ilikuwaje?
Source: Simulizinasauti
Kupitia ukurasa wake wa Snapchat amepost video hii na kuandika "I hated him nilikua simpendi hapo kama nimtie kofi"
Soma pia: Zuchu na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa kike
Vipi umeshawahi kupitia hali hii? Kuchukiwa na mjamzito na ilikuwaje?
Source: Simulizinasauti