xiaomi

  1. Baba Rhobi

    Watumiaji wa Xiaomi Redmi na yeyote anayetumia smartphone msaada wenu wakuu yamenifika

    Wakuu habari ya nyie, hopefully mko poa, Leo nimepata shida kidogo kwenye kimeo changu cha redmi 8a, kimeingiliwa maji kidogo, sasa msala ni kwamba, upo kwenye mic na spika. Mtu akipiga ina ita kama kawaida (inatia sauti vizuri) ila nkipokea sim sikii kabisa, mpaka niweke loudspeaker hapo...
  2. Superfly

    Xiaomi redmi 9 za Tigo: Line za mitandao Mingine zinakua na performance sawa kimtandao kama Tigo (Unlocked)?

    Nmeona offer ya Hizi simu zikiwa znauzwa maduka ya tigo,na nmevutiwa nazo kweli. sasa hofu yangu ni kwamba zinaweza zikawa locked, yaan line ya Tigo ndo inakua na nguvu tu, japo kuna mdau kaniambia kuna possibility kuwa line zote znafunction bila kikwazo.. Ombi langu ni kwa yeyote ambaye amewahi...
  3. C

    Phone4Sale OFFER: Xiaomi Smartphone Redmi 7 32GB Storage 199,000 TZS

    Grab this Offer Now! Xiaomi Redmi 7 Rom: 32 GB ( store more videos, photos,etc) Ram : 3 GB Condition: Used but still in a good condition Battery: 12 hrs + Delivery: From Dar es Salaam to any region in TZ OFFER: 199,000 TZs CALL: +255 757 700 510 Serious buyers only!
  4. C

    Phone4Sale OFFER: Xiaomi Smartphone for Sale 219000 Tzs

    Smartphone for Sale Grab this Offer Now! Xiaomi Redmi 7 Rom: 32 GB ( store more videos, photos,etc) Ram : 3 GB Condition: Used but still in a good condition Battery: 12 hrs + Delivery: From Dar es Salaam to any region in TZ OFFER: 219,000 TZs CALL: 0658 700 510 Serious buyers only!
  5. Mtafiti77

    Gari la Xiaomi?

  6. Mtafiti77

    Maswali kuhusu Xiaomi

    Ndugu, Hatimae nimefanikiwa kumiliki simu niliyokuwa ninaiota kwa muda, Mi 11 Lite 5G. Ndiyo ninayotumia kutype hapa. Sijaona changamoto zozote za kiutendaji kazi, ipo bomba balaa hasa spidi. Yenyewe ni ile ya RAM 6/128GB storage. 1. Ilibidi nimuagize mtu aliyekuwa anarudi nyumbani kutoka...
  7. Mtafiti77

    Wapi napata Xiaomi 11 Lite 5G

    Ndugu walevi wa gadget, Nimeamua kubadili upepo wandugu. Natoka kwa Mkorea kwenda kwa Mchina sasa. Akili yote ipo hapo kwa MI 11 Lite 5G. Tafadhali hii isichanganywe na MI 11 Lite. Hii ninayoitaka ina 5G hapo mwisho. Nimeipenda mashine hii nikiwa na akili timamu na bila ya kushawishiwa na mtu...
  8. Kurunzi

    Kampuni ya Simu ya Xiaomi yafungua ofisi zake Tanzania?

    Kampuni ya China inayotengeneza vifaa vya Electronic hasa simu janja ya Xiomi wamefungua ofisi zao Tanzania. Ofisi hizo ninapatikana mtaa wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam. Hi ni kwamujibu wa page yao kwenye mtandao wa Facebook.
  9. N

    Imechukua Miaka mitatu Kuredesign Hii logo ya Xiaomi na Imegharimu $305,000

    Mpaka Sasa sijapata jibu kuhusu wajamaa kuwa ni kiki wanatafuta, Wamepigwa ama Kuna ubunifu gani umetumika hapa. Kwa taarifa walizotoa ni kuwa imechukua Miaka mitatu kukamilisha hii design Mpya na Wamelipa kiasi cha dola za kimarekani $305,000 Kwa designer mjapani aitwaye Kenya Hara
  10. monotheist

    Phone4Sale Nauza oppo A9 2020

    Ram 8gb ROM 128gb Betty 5000mAh Double line Chpset Snapdragon (11nm) Tsh 280,000 Inacrecks kidogo haina atizo lolote zaidi inapiga kazi freshi 0692402211
  11. captain dunga

    Kati ya Xiaomi Redmi Note 8(snapdragon) na Redmi Note 9 (Mediatek) ipi bora?

    Wadau habari zenu.? Nilikuwa natumia Samsung A30, ambayo nilinunua mwaka juzi ,nilipanga mwaka huu ninadilishe.. bahati mbaya jana nikiwa na mashkaji tunapiga mambo niliidondosha, haifanyi kazi kwenye screen, ofcourse huwa situmii screen protector hivyo tangu muda imepasuka kioo, ila jana kioo...
  12. mjasiliaupeo

    Iphone effect: Xiaomi Mi11 itauzwa bila charger.

    Xiomi imeingiza sokoni simu yao mpya ya Mi11 sokoni. Kama iphone 12 na wao hawatauza sambamba na charger kwa kigezo cha kutunza mazingira na kusaidia kupunguza taka plastiki duniani. Sababu hii pia ndio walitumia apple inc kutuuzia simu bila charger na ikaleta mijadala mikubwa humu...
  13. Bwana Fulani

    Xiaomi wazindua the fastest charging phone around

    Kampuni ya electronics, XIAOMI, Imezindua simu mpya ( Xiaomi Mi 10 Ultra) yenye 4,500 mah battery inayoweza kwenda 0% to 100% charge ndani ya dakika 20 tu ikitumia official charger ya watts 120 🔥 Pia simu hiyo ina support 50 watts wireless charging ambapo itatumia 40 minutes pekee kujaa Simu...
  14. Latrice

    Uzi maalumu wa picha zilizopigwa na simu za XIAOMI

  15. J

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    MAANA YA ku-ROOT ku-ROOT maana yake ni kuweza kupata uwezo au access ya system files zilizopo kwenye simu yako ambazo kwa kawaida zinakuwa zimejificha au kuzuiwa kwa mtumiaji ili asiweze kuzifikia , kwa kiingereza naweza kusema its an ability to obtain administrative access or rights on the...
  16. lucky lefty

    REDMI NOTE 7 64GB FOR SALE (BRAND NEW)

    JIPATIE BRAND NEW XIAOMI REDMI NOTE 7 YA GB 64 KWA 500,000 YA GB 128 KWA 600K. CAMERA - 48 MP RAM - 4 -6 GB BATTERY - 4000mAh WITH FAST CHARGER USB TYPE C BIDHAA ZOTE ZIKO SEALED NA MAELEWANO YAPO. Contact : 0738985904
Back
Top Bottom