Sawa MchinaNawashauri hizo simu nunueni ni cheap sana na ni nzuri
Aroooo mbona mi mtoto wa mama SamiaSawa Mchina
Mzee, sio kwamba Xiaomi wamefunga biashara Tanzania hapana,, bali wamefunga offisi zao kwa sku ya leo (jumapili) hawafanyi kazi. Huoni hapo mbele pameandikwa "opens on monday 09:00". Ukitaka kuamini maneno yangu basi kesho saa nne asubuh tembelea tena huo ukurasa kama utakutana na neno "closed"Kampuni ya China inayotengeneza vigaa vya Electronic hasa simu janja ya Xiomi wamefungua ofisi zao Tanzania.
Ofisi hizo ninapatikana mtaa wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam.
Hi ni kwamuji wa page yao kwenye mtandao wa Facebook.
View attachment 1778519
View attachment 1778520
Mkuu tuliza kichwa soma vizuriMzee, sio kwamba Xiaomi wamefunga biashara Tanzania hapana,, bali wamefunga offisi zao kwa sku ya leo (jumapili) hawafanyi kazi. Huoni hapo mbele pameandikwa "opens on monday 09:00". Ukitaka kuamini maneno yangu basi kesho saa nne asubuh tembelea tena huo ukurasa kama utakutana na neno "closed"
Naona watu mnasapoti tuuuh!
Ana wengeMkuu tuliza kichwa soma vizuri
Chunguza simu yako mkuu inaandika badala yako baadhi ya maneno.Daaahh hizi SIM zinekuja kuuwa soko la I phone kama unapenda Gems zenye nguvu na speed Mi is the best choice na kwenye Being sio pasua kicwaa xana ila no Durable na reliable Mchina Oyeee...
Kua makini sidhani kama ni officcial usije liaAcheni utani jamani! Xiaomi wapo Tz
Ngoja niwahi nikajipatie Xiaomi mi note 11 haraka sana.
Ok, nimekuelewa sana. Hata hivyo niko makini kuliko.Kua makini sidhani kama ni officcial usije lia
Daaahh hizi SIM zinekuja kuuwa soko la I phone kama unapenda Gems zenye nguvu na speed Mi is the best choice na kwenye Being sio pasua kicwaa xana ila no Durable na reliable Mchina Oyeee...