Superfly
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 965
- 1,966
Nmeona offer ya Hizi simu zikiwa znauzwa maduka ya tigo,na nmevutiwa nazo kweli. sasa hofu yangu ni kwamba zinaweza zikawa locked, yaan line ya Tigo ndo inakua na nguvu tu, japo kuna mdau kaniambia kuna possibility kuwa line zote znafunction bila kikwazo..
Ombi langu ni kwa yeyote ambaye amewahi tumia simu hizi za tigo atuwekee mrejesho basi ili tuwe huru kununua kitu safi kutoka Tigo.
Ombi langu ni kwa yeyote ambaye amewahi tumia simu hizi za tigo atuwekee mrejesho basi ili tuwe huru kununua kitu safi kutoka Tigo.