Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana
Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki
Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule
Reuben kigame ni mkenya anaishi...