WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
📌 Yatoa huduma moja kwa moja kwa Wananchi kupitia Taasisi zake
📌 Nishati safi ya kupikia, yawa ajenda ya kuvutia
Zanzibar.
Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi...