wizara ya mambo ya nje

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Waziri Thabit Kombo: Migogoro yetu inasababishwa na nguvu za nje

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) akizungumza katika Mkutano na Vyombo vya Habari kuhusu ziara ya kikazi ya Rais Dkt.Samia, Addis Ababa Nchini Ethiopia.
  2. H

    Waziri Kombo ashiriki zoezi la upandaji miti ishara ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya Rais Samia

    Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ashiriki zoezi la upandaji miti kama ishara ya kumuunga mkono Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uamuzi wake wa kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa vitendo vya...
  3. H

    Taarifa ya viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje kuchota USD 4m kwa ajili ya kwenda nje kusafisha nchi si kweli

    Taarifa inayosambaa mitandaoni kwamba viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje wamechota kiasi cha USD million 4 kwa ajili ya kwenda nje kusafisha nchi ni za uzushi hazina ukweli na zipuuzwe. Baada ya kufuatilia Wizara ya Fedha ( Hazina) inayotoa fedha, Wizara hiyo imekanusha vikali na kuthibitisha...
  4. Lord Denning

    PostGE2025 Wizara ya Mambo ya Nje acheni kumaliza miti. Muda wa maneno na maelezo mengi ulishapita, sasa ni wakati wa kushughukikiwa

    Wizara ya Mambo ya Nje acheni kumaliza miti kwa maneno meeengi na longolongo nyiingi. Mlikuwa na muda wa kurekebisha kuepusha Watanganyika wasiuwawe na kutendewa vitendo vya kinyama kwenye nchi yao. Maelezo mliyotoa leo hayana msingi wowote. Ndo imeshaisha hiyo. Kinachofuata ni misaada ya...
  5. D

    PostGE2025 Oneni Wizara ya Mambo ya Nje inavyoandaa nyaraka zake na kukitangaza Kiswahili duniani

    Document ya kiswahili lakini imejaa maneno ya kiingereza; na ikumbukwe huyu Waziri alihojiwa na BBC kiingereza kibovu kama cha nywinywinywi Document ya Wizara lakini menyewe yanadai ni Ubalozi… sijui yamedesa kutoka wapi Na tamko halitaji limeandaliwa na nani. Humo ndani kuna “serikali”...
  6. Papaa Mobimba

    Serikali: Watanzania waliopo Israel na Iran kurejeshwa nchini

    HALI YA WATANZANIA NCHINI ISRAEL NA IRAN KUFUATIA MASHAMBULIZI BAINA YA TAIFA LA ISRAEL NA JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN DODOMA, 19 JUNI 2025 Kufuatia mashambulizi yanayoendelea kati ya Taifa la Israel na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza tarehe 13 Juni 2025, hali ya usalama katika mataifa...
  7. Ojuolegbha

    Waziri Kombo apongeza mabaoresho Kituo cha Mikutano cha AICC

    Waziri Kombo apongeza mabaoresho Kituo cha Mikutano cha AICC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amepongeza maboresho makubwa yanayofanywa katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC). Balozi Kombo ametoa pongezi hizo...
  8. Nyani Ngabu

    Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania kazini, asema Tanzania na Mozambique wameshirikiana kuleta amani Gabo Delgado

    Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC. Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?
  9. Ojuolegbha

    Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibari kuendeleza ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ipo tayari kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara nyengine za Muungano ili kuleta ufanisi mzuri wa kazi kwa pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa...
  10. Ojuolegbha

    Othman Masoud Othman amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Ijumaa Agosti 09, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki. Ujumbe huo ambao umeongozwa na Waziri katika Wizara hiyo Balozi Mahmoud Thabit Kombo, umefika...
  11. Pfizer

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, akutana na ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Ijumaa Agosti 09, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki. Ujumbe huo ambao umeongozwa na Waziri katika Wizara hiyo Balozi Mahmoud Thabit Kombo...
  12. peno hasegawa

    Kwa biashara hii, kikokotooo kitaumiza wengi Kwa Karne nyingi

    Later today in Nairobi, we will be launching the construction of Twin Towers (22 floors each) buildings, a real estate investment by NSSF and Tanzania’s Ministry of Foreign Affairs in Upper Hill, the center of Nairobi, that will also house our embassy. We are honoured to be joined by Kenya’s...
  13. S

    PreGE2025 Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu

    Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi. Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea Zaidi sikiliza hii link mpaka...
  14. thetallest

    Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

    Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari. Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka. Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa...
  15. NIPOSINGO

    Uteuzi na Mabadiliko: Ofisi ya AG, Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje

    Usiku huu, imetolewa taarifa kuwa Rais Samia amefanya teuzi katika nafasi mbalimbali. Rejea kiambatisho hiki:
  16. J

    Kutokea Mambo ya Nje Mkapa na Kikwete walifanikiwa kuwa Rais wa JMT, Salim Ahmed Salim, Migiro na Membe Walifeli. Makamba Jr atafaulu?

    Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza? Mungu wa mbinguni awabariki sana!
  17. mngony

    Yuko wapi Balozi Liberata Mulamula? Mwanadiplomasia huyu Nguli aliiweza sana Wizara ya Mambo ya Nje

    Nguli huyu wa Diplomasia aliitendea haki Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa kutokana uzoefu uzoefu wake kama Balozi aliyewahi kutuwakilisha huko ughaibuni. Nakumbuka alikuwa na kasi kubwa sana tangu alivyopewa majukumu ya kuongoza Wizara kabla ya kufikiwa na ' ajali ya kisiasa'...
Back
Top Bottom