thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.
Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.
Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.
Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.
Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.
Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.