wazoefu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mia saba

    Kwa wazoefu wa biashara ya miamala

    Nimejikusanya kiasi cha kupata laki nane, kazi kibarua (dayworker) kwa sasa nimeona kujiajiri ni vena Sana. Sasa nauliza je kwa ongezeko kubwa la vibanda vya mobile money je itafaa kupambana hapo kukuza mtaji Kama kujiajiri. Je, laki nane ikizunguka vizuri inaweza toa faida Bei gani kwa...
  2. YoyoTheDeveloper

    Wazoefu wa Aliexpress

    Habari zanu wakuu, kwa wenye uzoefu wa kuagiza bidha kupitia Aliexpress. nahitaji kuagiza bidha kwa mara ya kwanza, Je nitapokea mzigo kwa njia gani? Je mzigo utafika bila shida yoyote? Kama kuna changamoto, ni zipi? Asanteni.
  3. tutafikatu

    Watumishi wazoefu ndio wapelekwe Wizarani

    Ukienda Wizara ya Afya, utakuta kuna watumishi kedekede, wanaosimamia jambo ambalo hawajawahi lifanya. Kuna wafamasia, ambao hawajawahi toa hata kidonge kimoja kwa mgonjwa, kuna madaktari ambao hata ndugu yake akiumwa Typhoid atapiga simu kwa daktari mzoefu hospitalini amtajie dawa nzuri. Kuna...
  4. King Kong III

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947 Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s Salender Bridge 1960s Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!! Seaview-Mawingu House 1960 Arusha-Clock Tower 1966 Dodoma City Center 1974 Bukoba City...
  5. VictoniX

    Msaada kwa wazoefu wa kutumia Aliexpress

    Naomba kujua kama ukitumia Aliexpress kuagiza mzigo kuwa uwezekano wa kutumia agent wengine wa usafirishaji tofauti na options ambazo Aliexpress wanakuwa wameziweka... Yani kwa mfano nataka kuagiza mzigo ila nahitaji kutumia Silent Ocean kusafirisha mzigo wangu, je ni hatua gani natakiwa...
  6. S

    Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

    Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo! I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake! ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa. iii) Hatima ya katiba mpya iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa...
  7. B

    Kadhia ya Umeme: Waongo Wazoefu Waachie Ngazi

    Mada mbili hizi zinajielekeza wazi nini kifanyike sasa kwa maslahi ya taifa: #1: Mheshimiwa Majaliwa juzi alituhakikishia upo umeme wa kutosha: #2: Tanesco leo wanatutaarifu kuwa umeme hautoshi: Ya nini kumung'unya maneno? Pana mtu hapa amejipambanua kuwa mwongo mzoefu. Haonyeshi hata...
  8. C

    Wazoefu wa Mji wa Moshi, naomba kuelekezwa Ofisi za Posta zipo maeneo gani kwa hapo Moshi mjini

    Habari gani wakuu,ningependa kuelekezwa Ofisi za POSTA kwa hapo Moshi mjini zipo maeneo gani. Nawasilisha. Ahsante
Back
Top Bottom