wazo la biashara

  1. Bob Manson

    Maombi ya ushauri wa kitaalamu kuhusu wazo la biashara

    Habari zenu waungwana, nawasilisha wazo langu la kibiashara ili nipate mawazo Kwa wazoefu na hata wasio wazoefu wa biashara hizo, lengo ni kujifunza na kupata mawazo ya wengine. Nina wazo la kuanzisha biashara zifuatazo: 1. Ninunue pool table jipya na niweke sehemu ambayo tayari...
  2. Masalu Jacob

    Je, kuna kijana yoyote mwenye wazo la biashara ambalo ni jipya la kuajiri vijana 10,000 moja kwa moja

    Habari Tanzania ! Ikiwapendeza vijana nawakaribisha kwa hayo mawazo. Linahitajika wazo la biashara ambalo ni jipya. Ikiwa utakuja na wazo la kufanyika maeneo yafuatayo hapa Tanzania kwa kuajiri vijana 10,000 moja kwa moja kwenye hilo wazo lako. Mikoa ifuatayo; Mwanza, Arusha, Dar es Salaam...
  3. Kalaga Baho Nongwa

    Nakupa wazo la biashara bongo, ukishindwa kulitekeleza liboreshe hapahapa walitekeleze wengine

    Kwema wakuu Unajua watanzania wengi tunakosa maen3o ya kuinjoi, na bqadh ya michezo mingi inayoweza kutufurahisha ni ile ambqxo wengi wetu wqtazamani sio washiriki. Kumekuwa na haja ya watu wazima nao kupata s3hem ya kurelax na ku'fun' Haja hii ya uwepo wa hizi shughul unaniweka karibu na...
  4. Heritage123

    Idea 10 za Biashara za kuanzisha hapa Bongo

    💡 Hii hapa orodha ya idea 10 za biashara zinazolipa Tanzania (Bongo) — zimetengenezwa kwa kuzingatia hali ya soko, matumizi ya teknolojia, gharama ndogo za kuanza, na uwezo wa kukuza kwa kutumia digital platforms kama WhatsApp, Instagram, TikTok na LinkedIn. 1. 🧢 Biashara ya Accessories za Simu...
  5. Thistime Tomorrow

    Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 800,000

    Kama Tittle inavyojieleza. Mimi nipo Mwanza, tangu 2022 nilikuwa nafanya biashara ya usafirishaji, bahati mbaya nilipata changamoto zilizofanya niyumbe sana kiuchumi. Hapa nimebakiza laki 8 tu nawaza jinsi ya kuanza upya ili niweze kuinuka tena. Natanguliza shukrani.
  6. Meneja Wa Makampuni

    Hii ndio orodha ya kozi ambazo ukisoma unaweza kuzibadilisha kuwa wazo la biashara

    HII NDIO ORODHA YA KOZI ZA VETA AMBAZO UKISOMA UNAWEZA KUZIBADILISHA KUWA WAZO LA BIASHARA Unapojifunza moja ya kozi hizi kutoka VETA, hupati tu ujuzi wa ajira – unapata nafasi ya kuanzisha biashara yako mwenyewe! Hizi ni kozi zinazoweza kugeuka kuwa miradi ya maana inayolipa kila siku👇👇 🔧...
  7. Tech Max

    Nina wazo la biashara mlimani City natafuta muwekezaji, wazo zuri ninalo

    Nina wazo la biashara mlimani City natafuta muwekezaji, wazo zuri ninalo Naishi mkoa wa Dar es salaam -> mawasiliano: inbox
  8. S

    Wazo la biashara au eneo la biashara kwanza.

    Wadau nauliza wenye uzoefu watusaidie, Jambo gani ni mhimu kuanza nalo ukiwa unafungua biashara(business) Unawaza kwanza biashara ya kufanya ndio utafute location(eneo) Au unatafuta kwanza eneo ndio uwaze biashara(business ) ya kufanya. MMH!?
  9. A

    Naombeni wazo la biashara ya million 5 mkoani iringa

    Habari zenu Wana jamvi? Matumaini mko poa kabisa. Ndugu zangu naomba mwenye uzoefu na mkoa wa Iringa niko na mtaji wa sh. Mil 5 nataka kufanya biashara lakini Hadi muda huu sijui ni biashara gani na nitafanya katika eneo gani mkoani Iringa. Naombeni sana mawazo yenu
  10. B

    Business idea kwa Bakresa group. Hii ni zaidi ya fursa

    Mlio na ukaribu na bakresa embu mfikishieni wazo langu 🤔.. Bakresa group inaupiga mengi sana wamewekeza sekta nyingi sana hapa nchini. Nakutoa ajira kwa watu wengi sana Tanzania na nje ya Tanzania. Juzi wakati anapewa tuzo ya mlipakodi Bora wa hiyari, Nikaanza kuwaza mwamba kawekeza sana...
  11. W

    Umewahi kuibiwa business idea / wazo la biashara ?

    mpo mnapiga story mtu anapita nayo umeenda kuomba mkopo benki wanahitaji kuiona business plan wanapita nayo umeenda kwenye kampuni kuuza wazo wanakuwahi n.k. Umeumiza kichwa kufanya uchunguzi wa soko, location nzuri ya kutega, machimbo, gharama, wateja, n.k. Ghafla unastuka kuna mwamba...
  12. mkalusanga

    Naombeni msaada wa mawazo

    Heri ya Mwaka Mpya Wana JF Wote! Ninaomba msaada wa mawazo kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna mtu amenipa wazo la kufungua kiwanda kidogo cha juice na kuwa washirika wa biashara (business partners). Tumejadili kuhusu kupakia juice vizuri, kuipa jina, na kuifanya iwe ya kuvutia. Sasa...
  13. M

    Wazo la biashara rahisi

    Imekua nikama uvivu ama kutojitambua kwa watu wengi juu ya kuwa na wazo la biashara lakini kuianzisha biashara yenyewe inakua mthihani kweli kweli na hii kasumba sijui ni kwa biashara kubwa tu au hata ndogondogo?
  14. Mr Beach Boy

    Unaweza kupata wazo la biashara kupitia njia hii ambayo naifanya hapa. Ikawa faida kwako na kwangu pia

    Habari Kwa makazi nipo dar es salaam, Nina mtaji mdogo ambao Kwa upande wa frame ni changamoto Sasa Basi nataka kufanya biashara Kwa njia ya mtandao hasa kupitia WhatsApp Kwanini nataka kutumia platform ya WhatsApp? Kwasababu watu ambao nimesave namba zao wananijua na ninawajua vizuri kwaiyo...
  15. E

    Wazo la biashara (alfajiri)

    Jambo, Mwenye wazo la biashara ndogo ambayo naweza kimbiza (03:00-05:00 Am) Hii ni kwa sababu ya ratiba kubana Karibuni kwa mawazo
  16. Bodhichitta

    Kama una ndoto za kuanzisha biashara anza kwanza kutafuta wazo la biashara kabla ya mtaji au tafuta vyote kwa wakati mmoja

    Aslaam, Kutokana na changamoto za Maisha ambazo hutufanya kawaza kutafuta ridhiki kila kukicha, wengi tumejikuta kujikita Mawazo yetu kwenye kufanya biashara ili tuweze kujikwamua katika mambo mbalimbali ya kimaisha hasa kwenye Nyanja za maendeleo. Imekuwa kawaida yetu mtu anapowaza kujiajiri...
  17. Hommy

    Wazo la biashara kutengeneza Umeme binafsi

    Nina wazo la kutengeneza converter ya umeme kutoka chini ya 10V hadi 250V na angalau 2000W itakayokuwa portable na mfumo wa kujicharge. Hii itakuwa ni inverter inayoweza kutumika kwa matumizi ya ndani na hata wale biashara za kuhama hama kama machinga nakadhalika pia kwa matumizi ya nyumbani...
  18. E

    Wazo la biashara ndogondogo

    Wakuu, nahitaji wazo la biashara ndogondogo yoyote Location: Dar es salaam
  19. P

    Naomba kufahamishwa kuhusu mtaji unaohitajika ili kufanya hii biashara!

    Wasaalam ndugu na jamaa Naomba kuuliza, je biashara ya electronic transactions kama mpesa, tigopesa, Airtel money na halopesa ,faida yake inapatikanaje? Na je kwa hapa dsm, biashara ipi inatoa zaidi kwa mtaji kuanzia 1m? Na je ni maeneo yapi yanafaa?
  20. Brojust

    Biashara ya kuuza wazo la Biashara.

    Habari za leo wakuu; Baada ya kupigwa sana na kuhangaika na watu mpaka level za kimahama kuhusu kuibiwa idea mbali mbali. Sasa nimekuja kwenu wadau kuomba hekima zenu kwa biashara hii ambayo tayari nimeanza kuona matunda yake. Ni Biashara Ya kuuza wazo la biashara, wazo la kutafuta jina la...
Back
Top Bottom