wanyonge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Viongozi serikali bunge na mahakama pateni mipesa yote ila wananchi wanyonge wanachoangalia ni mumewasaidiaje?

    Kama kichwa kinavyojieleza lipaneni mipesa yote kama mishahara na miposho mtakula na mtakufa hamtaishi milele kumbukeni wanyonge walio wengi
  2. Machinga waanza kunyanyaswa rasmi hawatakiwi huu si wakati wa wanyonge

    Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma. Maskini baba aliwambia kufanya biashara...
  3. M

    Mtusamehe tu Sisi tulioitwa ' Wanyonge ' sasa tumeshapata Akili na kwa kilichotokea Salamu yetu rasmi itakuwa ni hii...

    " Nawasalimu kwa Jina la CAG " ambapo Wanyonge wenzangu nanyi mtaitikia kwa kusema ' Tumepigwa Sana ' sawa? Kuitwa Mnyonge kwa Tanzania yetu hii Kutukanwa na Kufanywa huna Akili hivyo tusiitane tena tafadhali. Ni nchi gani barani Afrika kwa Mila zake kama Mtu akiwakosea Mamilioni akifa tu...
  4. Kwanini Watazania tunaitwa wanyonge?

    Watanzania ni wanyonge kwa sababu ya unafiki wa wabunge wetu. Bunge letu ndiyo chanzo cha unyonge wetu. Tuna wabunge vigeugeu sana katika Taaifa hili. Kwenye elimu ya juu walishiriki kupitisha sheria kandamizi iliyosukuma mabadikiko ya makato lakini leo wamesahau wanapiga makofi kwenye ripoti...
  5. K

    Wafanyakazi wanaonyimwa fao lao sio wanyonge?

    Ninaomba tafsiri ya wanyonge kwa nchi hii tafadhali? Maana ninapata shida kusikia Boda Boda ni mnyonge, na nina ushahidi hawa vijana wa Boda Boda, wanaingiza kipato zaidi ya shilingi laki sita kwa mwezi. Mfanyakazi mwenye mshahara wa laki tatu hadi laki tano, mkataba wake unaisha, ananyimwa...
  6. Wanyonge hatuna chetu awamu hii

    Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge. Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi. Nimereview...
  7. M

    TCRA na Waziri Ndugulile, wanyonge mliotuumiza jana tunahitaji tu kupata majibu ya haya maswali yetu

    1. Baada ya Kuamuru jana kuwa Vifurushi vya zamani virejeshwe na viendelee je, ni Saa ngapi hilo litafanyika kwani mpaka sasa bado havijabadilika? 2. Je, wale ambao Jana walinunua Vifurushi vyenu vya Ukatili na Kutukomoa mtawasaidiaje na kuwafidia kutokana na Upuuzi wenu? 3. Ni saa ngapi...
  8. 21days of mourning with new troubles of economic shake "Wanyonge" we are survive as flies

    Hayo madini tulionayo , Tafuteni kodi huko Punguzeni mishahara ya Wabunge Sisi "Wanyonge tumewakosea nn mpaka mtufanyie hivi .?
  9. Hivi hawa Watanzania 'wanyonge' wana sifa zipi? Na wanapataje hizo sifa?

    Inaonekana neno 'wanyonge' limeshika kasi katika matumizi yake hapa Tanzania, na kutumiwa sana na baadhi ya wakuu kabisa wa nchi. Kwa mujibu wa baadhi ya machapisho, 'wanyonge' maana yake ni 'masikini sana', au 'watu wadhaifu katika jamii'. Kwa Kiingereza ni 'disadvantaged', 'abject poor', au...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…