Tafsiri halisi ya wanyonge ni ipi??Kama kichwa kinavyojiekeza lipaneni mipesa yote kama mishahara na miposho mtakula na mtakufa hamtaishi milele kumbukeni wanyonge walio wengi
.MKUU CCM wanalipa we unaumia nnKama kichwa kinavyojiekeza lipaneni mipesa yote kama mishahara na miposho mtakula na mtakufa hamtaishi milele kumbukeni wanyonge walio wengi
Tafsiri halisi ya wanyonge ni ipi??
Tafsiri halisi ya wanyonge ni ipi??
Kwni bado kuna wanyonge? Nilidhani waliisha na mwendazake. Kumwambia mwenzio mnyonge si haki kwani yeye atatoka vipi kama ataitwa mnyonge? Watu wasaidiwe ili hili neno liishe!!!!Kama kichwa kinavyojieleza lipaneni mipesa yote kama mishahara na miposho mtakula na mtakufa hamtaishi milele kumbukeni wanyonge walio wengi
Asiyekuwa nacho si mnyonge anahitaji kuaidiwa tu ili atoke hapo. Kumwita mnyonge hala fu ukampa laki mbili hujamsaidia. Mpe nyavu akavue samaki ili asiwe mhitaji siku zote.