Gharama za vifurushi jamani zinaumiza Sana Tunaomba watawala Karibu kuliona ili kwani sisi wanyonge ndo tuna teseka.

kahembe

Member
Mar 22, 2015
74
53
Vifurushi vina faida nyingi kwa kwetu Wana nchi wa chini .
Kwanza ndipo chanzo Cha mapato, kwani Kuna wajasiliamali wanaotegemea vifurushi vya internet kufanya biashara zao.
Pili wanafunzi wanaotegemea vifurushi vya internet kujisomea
 
Kama vile TCRA wana waogopa vodacom

Screenshot_20210429-204604.png


Screenshot_20210429-204630.png
 
Vifurushi vina faida nyingi kwa kwetu Wana nchi wa chini .
Kwanza ndipo chanzo Cha mapato, kwani Kuna wajasiliamali wanaotegemea vifurushi vya internet kufanya biashara zao.
Pili wanafunzi wanaotegemea vifurushi vya internet kujisomea
Mbona TCRA wanasema wamerudisha
 
Njoo halotel, piga
*150*88#
Chagua 3

Yaani ni shangwe tu yaani..
 
Kwani hujaona report kuwa TANZANIA NDO NCHI YENYE BEI NAFUU YA VIFURUSHI
 
Back
Top Bottom