Kama wewe ni Mwanachama wa CCM jua wewe ni goigoi. Size yenu ni Wali, chumvi, Baiskeli, pikipiki tshirt kanga na Bango.
Leo tulikuwa buhongwa watu wanapigana wapate pango la CCM.
Mtu unagombana na mwenzio kisa bango? Kama si ugoigoi ni nini? Si ukaprintt bango lako kama kweli unamapenzi na...