Nauliza tu. Maana kuna vijana waliozaliwa 90 na baada ya kuzaliwa wakasikia Alqaida na wengine huko mashariki ya kati wakaaza kuwasema vibaya waislam na kuanza kuona kama ndio tatizo.
Wengi hawataki kusoma historia. Wanashinda ktk social media na kuanza kukoments.
Sasa tujiulize marekani nao ni...