Mange Kimambi anampiga Rais haramu, je Mange Ni TEC?
Ally Kibao aliuawa kihuni, je alikuwa TEC
Nifa kakaa mahabusu mwezi, je alikuwa TEC?
Shehe ponda kaongea, je yeye ni TEC?
Zitto Kabwe kaibiwa uchaguzi halafu kawekwa ndani siku 6, yeye ni TEC?
Waliokamatwa na makesi ya uhaini kwenye...