Salaam Wanajukwaa.
Kama heading ijielezavyo, katika kuendelea na harakati, leo Wanajf nimekuja tena kuomba muongozo wa biashara ya vyombo kwa mwenye kuijua hata kwa uchache wake
1.Je kwa uchache at least mtaji uanzie kiasi gani.
2.Kama nitaanzia kwa mtaji mdogo bidhaa zipi sio za kukosa au za...