Vyombo vya kiusalama vikianza kufanya kazi kwa viapo vyao na sio kusaidia chama chochote hii nchi itabadilika. Malawi , Kenya, na Zambia vyombo vya usalama vilikataa kuiba kura ndiyo mabadiliko yakaja
1. Wafuate viapo vyao
2. Walinde wananchi, haki, kura, na chaguzi huru
3. Wasitumike kwenye...