Yanayo andikwa huko mitandaoni, binafsi nabaki katika mawazo kutokana na kuwa muumini wa Tanzania yenye upendo, amani na utulivu, lakini yalio pelekea yote haya kwa vijana ni chuki ilio jengwa kidogo na kisha kukomaa kutokana na vitendo ama matukio yalio kosa majibu, hili la sasa (upandikizaji...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama mkoani humo kuepuka kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani, akisisitiza kuwa hali ya usalama katika mkoa huo ni shwari.
Zitto ametoa wito huo leo Oktoba 28 wakati wa hafla ya...
VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA MKOA WA KATAVI VYASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama Oktoba 3, 20205 wamefanya mazoezi ya matembezi (Route Match) kwa kutembea zaidi ya kilomita 10 kuzunguka maeneo mbalimbali Manispaa ya Mpanda...
Jeshi la Polisi limeagiza wananchi wajiepushe na lugha za vitisho, matusi na uchonganishi wakati huu wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema hayo alipozungumza kwa njia ya Simu katika kipindi cha Power Breakfast kilichorushwa na Kituo cha Redio cha Clouds...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameibua wasiwasi juu ya uwezo wa vyombo vya usalama nchini kuchunguza kesi za mauaji na utekaji zinazoshika kasi hivi karibuni.
Lissu amesisitiza kuwa ni vigumu kwa vyombo hivyo kujichunguza vyenyewe na kutoa haki, akidai kuwa uchunguzi wa huru...
Kwanza kabisa mimi sio mfuasi wala mwanachama wa CCM wala chama chochote hapa Tanzania.
Binafsi kwa mtizamo wangu na kwa kutazama jamii nzima iliyo nizunguka nakiri CCM inaweza isiwe tatizo pekee hapa nchini.
Sisemi kuwa CCM ni bora hapana bali tuondoe matumaini makubwa kuwa siku CCM ikitoka...
TAMWA, Zanzibar yaviomba vyombo vya ulinzi kuwachukulia hatua kali kwa mujibu wa sheria watuhumiwa wa vitendo vya mauaji ya wanawake na watoto
Chama cha waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA, ZNZ), kinaviomba vyombo vya ulinzi kuhakikisha vinawakamata na kuwafikisha Mahakamani...
Mh Rais kwa asili ya watu wa haya maeneo fujo, ubabe na kulindana pia hizi wilaya kuna baadhi ya wakulima wa bangi ,watumiaji na wasafirishaji na wizi wa mifugo, uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha na ikizangatia haya mambo yanahusisha na nchi jirani (mpakani)
Naomba ubadilishe mkuu wa...
Na Mwandishi Wetu MOHA.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ameruhusu kupandishwa vyeo Maafisa, Wakaguzi na Askari 34,106, wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake kwa mujibu wa taratibu na sheria.
Akizungumza na...
Nimeshuhudia jeshi la Magereza likiomba ajira mpya sio chini ya mara mbili kipindi cha Mwendazake lakini halikupewa hata mmoja na badala yake kuambiwa watumie wafungwa kwa hiyo wafungwa wapewe bunduki wajilinde wenyewe?
Polisi leo nao sio mara ya kwanza kuwasikia wakiomba ajira mpya na kupigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.