vurugu za uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Parabolic

    Tanzania yaiangalia Tume ya Uchunguzi wa Vurugu za Uchaguzi 2025 kama kipimo cha uwajibikaji

    Geneva, Uswisi. Tanzania imeangazia juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan, katika kuimarisha uwajibikaji, maridhiano na kuendelea kuzijenga taasisi za umma kupitia kuundwa kwa Tume Huru ya Uchunguzi kuhusu vurugu zilizohusishwa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Hayo yaliwasilishwa katika tukio...
  2. McLaren

    Watu 7 wafariki kwenye vurugu za Uchaguzi nchini Uganda

    Takribani watu 7 wameuawa katika vurugu zilizotokea usiku kwenye eneo la katikati mwa Uganda baada ya uchaguzi mkuu ambao unaendelea nchini humo Matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi yanaonesha Museveni akiongoza kwa zaidi ya asilimia 75 ya kura katika uchaguzi wa urais uliofanyika...
  3. ChekoFagia

    PostGE2025 Reuters: UN yasema mamia ya raia waliuawa kwa makusudi kwenye vurugu za Uchaguzi wa Tanzania

    1. Vurugu Kubwa na Mauaji Yasiyo ya Kisheria Mnamo Oktoba 29-31, baada ya wagombea wa upinzani kuondolewa katika uchaguzi, vurugu za kisiasa ziliibuka katika miji ya Mwanza, Dar es Salaam na Arusha. Polisi walipiga risasi raia wasiohusika na kuwaua mamia ya watu, tukio lililoharibu sifa ya...
  4. Damaso

    Bei ya Mamlaka: Vurugu za Uchaguzi na Falsafa ya Uongozi Barani Afrika

    Katika historia ya mataifa mengi, uchaguzi—ambao unapaswa kuwa alama ya demokrasia—umegeuka kuwa kumbukumbu ya maumivu, machozi na vifo. Katika baadhi ya nchi za Afrika, imekuwa kawaida kuona majeshi yakimiminika mitaani, mabomu ya machozi yakipiga kelele kila kona, na miili ya vijana ikijaa...
  5. Agent-47

    Mdau ameongezea ufafanuzi kuhusu tume ya kuchunguza vurugu za uchaguzi

    Mdau ameweka ufafanuzi kwenye majina ya tume ya kuchunguza vurugu za uchaguzi. Angalia kushoto mwa kila jina… Angalizo: ni tume ya kuchunguza vurugu, siyo vifo.
  6. JITU BANDIA

    Kama una ndugu yako anashikiliwa kituo cha Polisi kwa vurugu za Uchaguzi, uza chochote ukamtoe kwa gharama yoyote!

    Nimeona nishee huu ujumbe, nimeupata mahala...hii ni kwa yeyote yule mwenye mpendwa wake anaeshikiliwa kutokana na vurugu za uchaguzi.... Uza kitu chochote! chonde chonde! NARUDIA!!! Uza hata mfugo wowote uliopo!, mtoe nduguyo ndani kabla mambo hayajaharibika zaidi! Lile li-kesi li-kubwa la...
  7. N

    GE2025 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Lake Oil Group: Wanasiasa hawahusiki na umiliki wa vituo vyetu vya mafuta

    Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Lake Oil Group, Stephen Mtemi, ameeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha watu kuchoma vituo vya mafuta vya kampuni hiyo, akisema mbali na hasara kubwa iliyotokea, Watanzania zaidi ya 300 waliokuwa wakifanya kazi kwenye vituo hivyo sasa wako nyumbani bila kazi...
  8. Dalton elijah

    Kipi Kifanyike Nchini Tanzania Baada ya Vurugu za Uchaguzi na Maandamano Yaliyosababisha Vifo?

    Kufuatia vurugu za uchaguzi na maandamano yaliyosababisha vifo nchini Tanzania, hatua madhubuti zinahitajika kuchukuliwa ili kurejesha amani, utulivu, na kuimarisha demokrasia. Hali kama hii mara nyingi huashiria mgogoro wa kisiasa na kijamii unaohitaji mbinu za kina na shirikishi kushughulikia...
  9. Heparin

    GE2025 Watanzania 17 washtakiwa kwa Uhaini Dodoma, idadi yafikia watu 162 nchi nzima

    Idadi ya wanaotuhumiwa kwa Uhaini inazidi kuongezeka. Awali, Jamhuri ilipeleka watu 145 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akiwemo Mfanyabiashara Maarufu Jennifer Jovin (Niffer). Sasa, Jamhuri imeongeza watu wengine 17 kwa tuhuma hizo hizo, na kesi yao itaendeshwa na Mahakama ya Dodoma. Pia...
  10. Heparin

    GE2025 Niffer na wengine 97 wafunguliwa mashtaka, yakiwemo ya UHAINI kufuatia maandamano ya Oktoba 29, 2025

    Jamhuri yawapiga kesi ya Uhaini watanzania 97l8 kufuatilia Maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika Orodha hii, yupo Mfanyabiashara maafuru Jennifer Jovin, Maarufu kama Niffer. Kesi hizi zimepangwa kusikilizwa kwa hatua za awali kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. ====...
  11. Lord Denning

    Papa asema mamia wameuwawa Tanzania kwa vurugu za Uchaguzi

    Kwenye Ibada ya leo. Baba Mtakatifu Papa Leo ameziombea Tanzania na Sudan na kueleza mamia ya watu wameuwawa nchini Tanzania kutokana na vurugu za Uchaguzi Samia elewa tu we jiapishe ila inyeshe mvua liwake jua sio tu sisi Watanganyika bali dunia nzima haitakuacha salama kwa kutuua Watanganyika...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Dkt. Mpango atoa rai, wazazi kuwaepusha watoto kushabikia vurugu za uchaguzi

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wazazi hususani wakinamama kuwaongoza watoto wao hasa vijana kuacha tabia ya kushabikia vurugu wakati wa kampeni na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Makamu wa Rais ametoa rai hiyo mara baada ya kushiriki...
  13. Mr Why

    Mitambo ya kuzuia vurugu za uchaguzi wa Rais mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya

    Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni...
  14. Waufukweni

    Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha, Wafuasi wa Lissu na Mbowe wazichapa

    Wakuu Katika hali isiyokuwa ya kawaida, ugomvi wa ngumi umezuka nje ya Ukumbi wa Ubungo Plaza unapofanyika mkutano wa uchaguzi wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha). Ugomvi huo ulikuwa kati ya wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu dhidi ya wafuasi wa...
  15. Suley2019

    LGE2024 Dodoma: DED Sagamiko asema Vurugu Site 1 ni nia ovu dhidi ya Uchaguzi

    Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jijini la Dodoma ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt. Frederick Sagamiko amesema vurugu zilizoibuka katika kituo cha kupigia kura cha Site 1, mtaa wa Mlimwa, Jijini Dodoma kati ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Back
Top Bottom