nentewene
Senior Member
- Jun 9, 2017
- 144
- 94
Habari wakuu, nilikua napenda kuchukua hii german car , volkswagen up ya 2012- coz ina cc ndogo(1000) pia nimependa muonekano. wasiwasi sijawahi ziona bongo kwahiyo sinahakika kama mafundi wako vizuri kweny hivi vigari.
Naomba ushauri wenu au nipambane na Passo tu?
Naomba ushauri wenu au nipambane na Passo tu?