volkano

Mashkovtsev (Russian: Машковцев) is a small stratovolcano located in the southern part of Kamchatka Peninsula, Russia. It is the southernmost holocene volcano of Kamchatka.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyendo

    Serikali: Mafuriko ya Katesh ni kuporomoka kwa mchanga wa mabaki ya mlipuko wa volkano uliotokea maelfu ya miaka

    Msemaji wa Serikali amesema Wananchi wa Hanang katika mji mdogo wa Katesh, na vitongoji vyake, mji mdogo wa Kateshi walisikia kelele ambazo walifananisha kama gari moshi likipita kwa kasi katika mlima wa Hanang ambapo katika usiku huo kulikuwa na mvua ya kawaida na si mvua kubwa sana ya kutisha...
  2. Melki the Storyteller

    Hivi ni kweli nchi yetu inakosa vifaa vya kutabiri matetemeko ya ardhi na volkano kutoka milimani?

    Aisee, ni uzembe wa hali ya juu sana. Mamlaka ya hali ya hewa ndiyo taasisi pekee iliyotakiwa kuongezwa nguvu na kuwezeshwa kipesa kwa kuwa ndiyo ambayo hushikilia uhai wa watu na wanyama kwa ujumla. Inasikitisha sana. Mpaka inafikia hatua Mlima Hanang unaleta madhara makubwa kwa watu na...
  3. Kitumba_

    SoC01 Nimekuwa volkano

    Mlima ni moja kati ya sehemu zinazovutia kutazama, haswa kama unatazama kwa mara yako ya kwanza. Lakini kama ulishawahi kuuona mlima fulani au milima kadhaa, kwa namna ambayo inaitwa karibu kila siku, hata mlima unakua tu ni moja ya sehemu za mandhari. Yaani Mlima... ni mlima...ni mlima tu...
  4. jitombashisho

    DRC: Maelfu waukimbia mji wa Goma kukwepa mlipuko wa awamu ya pili wa volcano ya mlima Nyiragongo

    Mamlaka mjini Goma nchini Congo DR zimewataka waakazi wa mji huo kuondoa kwa hofu ya volcano ya mlima Nyiragongo kulipuka kwa mara ya pili. Mji jirani wa Gisenyi,Rubavu Nchi ya Rwanda umeshuhudia mamia ya makumi ya waakazi wa mji wa Goma wakikimbilia hapo kwa minajili hiyo ya kukimbia madhara...
  5. beth

    DR Congo: Watoto 170 wahofiwa kupotea kufuatia mlipuko wa Volkano. Vifo 15 vyathibitishwa hadi sasa

    Kwa mujibu wa Shirika la UNICEF, zaidi ya Watoto 170 wanahofiwa kupotea na wengine 150 wametenganishwa na Familia zao kufuatia mlipuko wa Volkano. Wakazi wa maeneo karibu na Mlima Nyiragongo wamerejea katika makazi yao ambayo yameharibiwa kufuatia tukio hilo, huku wengi wakitafuta wapendwa wao...
  6. Sam Gidori

    Indonesia: Mamia wahamishwa kutokana na hatari ya mlipuko wa volkano

    Mamlaka nchini Indonesia zimewahamisha mamia ya watu waliokuwa wakiishi karibu na mlima wenye hatari ya kulipuka kwa volcano baada ya dalili za mlipuko kuongezeka mapema wiki hii. Zaidi ya watu 600, wengi wakiwa wazee, wanawake wajawazito na watoto, pamoja na wale wenye ulemavu wamelazimika...
Back
Top Bottom