inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 500
- 420
Wadau habari,
Nina kagari kangu ka vitz old model. Kumbukeni mimi ni kabwela nimejichanga changa tu japo na mimi nipate kausafiri.
Sasa kalikuwa na leakage, fundi akafungua cylinder head akatibu leakage akafunga.Baada ya hapo kakawa kanazima zima mguu usipokuwa kwenye accelerator. Nikakarudisha kwa fundi, akafungua, akakuta cylinder head gasket imeungua.
Akabadilisha, akakawasha kakaunguruma kidogo, kakawa kana kanachanganya compresion. Akafungua cylinder head tena. Kakuta gasket imeungua. Akabadilisha tena akapiga pasi cylinder head.
Akafunga, akawasha, imeungua tena. Wadau naombeni msaada. Shida inakuwa ni nini hapa
Nina kagari kangu ka vitz old model. Kumbukeni mimi ni kabwela nimejichanga changa tu japo na mimi nipate kausafiri.
Sasa kalikuwa na leakage, fundi akafungua cylinder head akatibu leakage akafunga.Baada ya hapo kakawa kanazima zima mguu usipokuwa kwenye accelerator. Nikakarudisha kwa fundi, akafungua, akakuta cylinder head gasket imeungua.
Akabadilisha, akakawasha kakaunguruma kidogo, kakawa kana kanachanganya compresion. Akafungua cylinder head tena. Kakuta gasket imeungua. Akabadilisha tena akapiga pasi cylinder head.
Akafunga, akawasha, imeungua tena. Wadau naombeni msaada. Shida inakuwa ni nini hapa