vipeperushi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lady Whistledown

    Waziri wa Michezo ashambuliwa kwa kujiweka kwenye Vipeperushi visivyo mhusu

    Waziri wa Michezo Ababu Namwamba ameshutumiwa kwa Mara Kwa Mara Kuweka Picha Yake kwenye Vipeperushi rasmi ambavyo havimuhusu Mfano: Vinavyowapongeza Wanamichezo au kuhusu Wizara yake Katika tukio la hivi karibuni, Wakenya hawakupendezwa na Waziri huyo kuposti kipeperushi chenye picha yake...
  2. D

    Niagize business cards nikuletee mpaka ulipo Dar (free delivery) 25,000/= kwa 100pcs (design+printing+delivery)

    Habari? Je unahitaji BUSINESS CARDS? wasiliana nami leo niweze kukufanikishia.. Business cards 100 kwa Tsh 25,000/= tu UNAHITAJI VIPEPERUSHI? Kwa mahitaji ya Vipeperushi pia unaweza wasiliana nami ili niweze kukufanikishia PCS 100 KWA TSH 40,000/= TU.. Wasiliana nami: Whatsapp/ 0765 680 241
  3. Sharifu selemani mussa

    Natengeneza vipeperushi ,business card , social media post , product label na ishu nying za maswala ya graphics designing ikijumuksha mabango n.k

    Naitwa sharifu mussa, ni graphics designer wa Ot Technology, karibuni sana wateja kupata huduma mbali mbali za graphics designing ikiwemo label za bidhaa , business card, mabango ,. Gharama zetu ni stahiki sana na kazi zenye ubora. Wasiliana nasi. +255 620 155 490 Follow us Ot technology tz
  4. Q

    Waliochapisha vipeperushi vya kampeni 2020 wanaidai CCM zaidi ya 1B.

    Umoja wa kampuni za uchapishaji walioingia mkataba kwa ajili ya kuzalisha bidhaa na vipeperushi vya CCM wakati wa kampeni mwaka 2020, wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Mhe. @SuluhuSamia kuingilia kati suala la madai yao ili walipwe. Kwa pamoja wanadai zaidi ya bilioni 1. Natumaini...
  5. Deep Image Studio

    Watengeneza Mabango, logo na Vipeperushi

    Wataalam na mabingwa wa kutungeneza Mabango Tanzania, Logo, Posters, Flyers na uchapishaji (Printing). Wasiliana nasi kwa 0762 399 650 kwa maelezo zaidi.
  6. S

    Madai ya Katiba Mpya: Viandaliwe vipeperushi kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na visambazwe mitaani na sehemu zenye mikusanyiko

    Mbali na kutumia mitandao na makongamano au mikutano kudai Katiba Mpya, nashauri wanaharakati, wanasiasa na wadau wengine waandae vipeperushi vyenye kueleza umuhimu wa katiba mpya na kuvisambaza kadri inavyowezekana. Vipeperushi vieleze mapungufu yaliyoko katika katiba ya sasa na hatari au...
Back
Top Bottom